Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JE wajua asili ya jina paparazzi?

  
Na Sultani Kipingo

Mnamo mwaka 1960 wapiga picha wa kujitegemea huko Italy walijipatia umaarufu mkubwa kutokana na filamu moja iliyokuwa mashuhuri duniani iliyoenda kwa jina la La Dolce Vita (“Maisha Matamu” kwa Kitaliani)  iliyotengenezwa na Producer Federico Fellini wa huko huko Italy.


Hadhithi ya filamu hiyo ya La Dolce Vita inamhusu mwanahabari mchunguzi aliyeitwa Marcello (muigizaji akiwa Marcello Mastroianni) na mpiga picha wake aliyeitwa Paparazzo (muigizaji Walter Santesso). Ingawa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

je wajua asili ya jina Afrika?

Na Sultani Kipingo

Inasemekana kila jina lina asili yake na maana pia. Hata hilo jina lako ulipewa kwa sababu, na lina asili yake. Kama si la kutoka katika Biblia ama Quran, basi ni la kimila lenye kumaanisha jambo, kama vile siku, tukio, mahali ama hata shida au raha aliyopata mama wakati wa uzazi wako.

Jiji la Dar es salaam  zamani liliitwa Mzizima. Sultani Seyyid Majid wa Zanzibar ndiye aliyelipa jiji hili jina "Dar es Salaam" linalotokana na lugha ya Kiarabu  (Dār as-Salām) lenye...

 

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA ASILI YA SALUTI YA ASKARI?

Na Sultani Kipingo Baada ya siku kadhaa za kupekua kila mahali kwenye vitabu vya historia, nimekuta hakuna ajuaye has asili ya saluti. Ila nimekuta maelezo kwamba katika historia ya askari, mkono wa kuume (ama mkomo wa silaha) ulikuwa ukiinuliwa kama ishara ya salamu za kirafiki. Wanahistoria wanasema huenda hiyo ilikuwa ni ishara ya kuonesha kwamba hauko tayari kutumia silaha na kushambulia. Ila toka enzi hizo, ni askari asiye na cheo ama mwenye cheo kidogo ndiye alikuwa analazimika kutoa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je, wajua 'Mbuzi' ni jina la utani la rais wa Ghana

Moja la bango lililokuwa limebebwa na waandamanaji hii leo katika mji wa Accra nchini Ghana huenda likaonekana kama lenye ujumbe m'baya kwa mtu asiyeelewa.

 

10 years ago

Michuzi

UNAJUA ASILI YA JINA IRINGA?

Jina Iringa lilitokana na neno la Kihehe "Lilinga" ambalo tafsiri yake kwa Kiingereza ni Observation Post. Wahehe walianzisha lilinga sehemu hii ilipo Iringa ya sasa, ilikuweza kuwaona maadui kwa urahisi na kuweza kutoa taarifa za kulinda Ikulu iliyokuweko Kalenga. Wajerumani walijenga Boma juu ya kilima hicho hicho baada ya ushindi uliopatikana baada ya kupigana na Wahehe kwa mara ya pili. Katika pambano la kwanza Wajerumani chini ya Von Zelewiski waliuwawa wote akabakizwa mmoja akatoe...

 

10 years ago

Bongo5

Kesi ya Kanye West kumshambulia paparazzi yafutwa!

Kanye West na paparazzi aliyemshambulia wamemaliza tofauti zao kwa kumuomba msamaha na kushikana mikono. West alishtakiwa na Daniel Ramos baada ya mwaka 2013 kumshambulia wakati akiwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Los Angeles na kesi hiyo ilikuwa isikilizwe wiki ijayo. Wakili wa Ramos, Gloria Allred aliandika maelezo jana Jumanne kuwa kesi hiyo imemalizika […]

 

10 years ago

Michuzi

latin night @ Paparazzi next Thursday 6th August, 2015!

Come and join us next Thursday for a lovely night of Latin american music, expect lots of Salsa, Bachata, Merengue, Chacha even Tango and Kizomba! Lets practice, improve our dance and socialize! Hope to see you there for our first get together !!! Thursday @ Paparazzi (the club on the ground floor of Slipway) Form 9pm

 

10 years ago

Dewji Blog

Uzinduzi wa video mpya ya Mzungu Kichaa FT Malfred — “Twajiachia” kufanyika klabu Paparazzi, Slipway Jumatano hii

Twajiachia Flyer

LAUNCH PARTY: WEDNESDAY 17 JUNE 2015 / DOORS OPEN 20:00 HRS  PAPARAZZI CLUB SLIPWAY / SPECIAL MEDIA EVENT AT19:00 HRS INVITE ONLY

Twajiachia ni video ya muziki wa Mzungu Kichaa & Malfred ambayo inaadhimisha safari ya wanamuziki wa Tanzania katika nyanja ya muziki wa kimataifa.

Ilirikodiwa kwenye studio ya “Tao Records” kwa kushirikiana na  bendi ya Bongo Beat na mzalishaji/producer Flo Bauer wakati wa ziara yao ya Ulaya mwishoni mwa mwaka 2014. Video iliongozwa na Zeki Oguz Teoman ndani ya...

 

10 years ago

Michuzi

Reminder: 8pm @ Paparazzi club (Slipway) 17th June, 2015 Mzungu kichaa video release not to be missed!!

 Reminder: 8pm @ Paparazzi club (Slipway) 17th June. Tickets are still available today and tomorrow at the venue. Spread the word! #TWAJIACHIA

 

10 years ago

Bongo5

Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu

Kanye West hana urafiki na paparazzi.. lakini paparazzi mmoja amemvutia rapper huyo. Kanye West akiwa na paparazzi ambaye rapper huyo aliyependa t-shirt yake Akiwa kwenye mitaa ya jiji la New York, Alhamis wiki hii ndani ya taxi, Yeezy aliamua kusimama na kushuka kumpiga picha paparazzi aliyekuwa akimpiga picha kwakuwa alipenda tu t-shirt aliyokuwa amevaa. Kanye: […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani