Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FEDHA ZA BAYPORT ZAZIDI KUPATA WENYEWE

Meneja Masoko na Mawasiliano wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo, Ngula Cheyo, (katikati) akizungumza jambo wakati wa droo ya pili ya Kopa Bayport kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz, ambapo jumla ya washindi watatu kila mwezi wanapatikana na kila mmoja kujishindia jumla ya Sh Milioni moja. Kulia ni Afisa wa Huduma kwa Wateja wa taasisi hiyo, Gladys John, huku kushoto  akiwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mamilioni ya Kopa Bayport yazidi kupata wenyewe

Meneja Masoko na Mawasiliano wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services inayojihusisha na mikopo, Ngula Cheyo, katikati akizungumza jambo wakati wa droo ya pili ya Kopa Bayport kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz, ambapo jumla ya washindi watatu kila mwezi wanapatikana na kila mmoja kujishindia jumla ya Sh Milioni moja. Kulia ni Afisa wa Huduma kwa Wateja wa taasisi hiyo, Gladys John, huku kushoto akiwa ni bwana Humud Abdulhussein, Msimamizi kutoka Bodi ya Michezo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Washindi wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zao

Meneja wa Bayport Mkoani Lindi, Jovin Mapunda, kulia, akimkabidhi kiasi cha Shilingi Milioni moja mshindi wa Kopa Bayport, Said Mkinda, katika droo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Fedha hizo alikabidhiwa juzi. Jovin Mapunda. Picha zote kwa hisani ya Bayport Financial Services.
Washindi wanne wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zaoNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWATEJA wanne wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, walioshinda Sh Milioni Moja kila mmoja katika bahati...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMA UREMBO NIKUOLEWA BASI HAWA WASHINDWE WENYEWE KUPATA WAUME KWANI NI WAREMBO HASWA.


Hamisa MobetoMeninah Abdulkareem
Hamisa MobetoLulu Michael
Pitia  picha za warembo hawa watatu na utakubari kuwa wanaurembo na kama wanatulia na kuolewa basi mume hawezi kuchelewa kurudi nyumbani.

Meninah AbdulkareemAdd captionLulu MichaelHamisa MobetoLulu MichaelMeninah la Diva

 

9 years ago

BBCSwahili

Islamic State yabanwa kupata fedha

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio lenye lengo la kukata mifumo ya fedha kwa kundi la Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugiriki yalegeza kamba kupata fedha

Taarifa zinasema Ugiriki imekubali mapendekezo ya wakopeshaji wake lakini kwa masharti fulani

 

9 years ago

GPL

JB PAMOJA NA KUPATA FEDHA, UMAARUFU WAMTESA

MAISHA ni safari ndefu iliyojaa kila aina ya hali. Imejaa milima na miinuko mikali, mabonde, miiba, dhoruba na tufani kali. Hakika ni watu waliodhamiria tu kutafuta mafanikio ndiyo huweza kuhimili vishindo na misukosuko ya safari ya kutafuta mafanikio maishani. Kila aliyefanikiwa kwa njia halali, nyuma amepitia mapito mengi magumu na makali mno. Upo msemo ambao binafsi kila nikiukumbuka, morari na nguvu ya kutafuta mafanikio...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ugeugeu na upapara wa kupata fedha unakwamisha vijana

_MG_1920

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF), Dk. Tausi Kida akiingia katika ukumbi wa mkutano hoteli ya Double Tree by Hilton kwa ajili ya warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na  Mpango wa Shirika la Utafiti ya Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF.

Na Mwandishi wetu

VIJANA nchini Tanzania wanatakiwa kujitambua, kuacha kuwa kigeugeu na kufanya papara ya kupata fedha kama wanataka kuendelea na kufanikiwa kibinafsi na...

 

10 years ago

Mtanzania

Vanessa Mdee: Wasanii hawajui namna ya kupata fedha mtandaoni

Na Festo Polea
WAKATI wimbo wa ‘Hawajui’ wa msanii, Vanessa Hau Mdee ‘Vee Money’, ukiongoza katika chati za ubora za vituo mbalimbali vya redio na runinga za nchini Nigeria, msanii huyo amesema wasanii wengi hawajui namna ya kutumia mitandao ya kijamii kuuza kazi zao.
Vanessa alieleza hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, Rai na The African, akiwa katika harakati za kutangaza wimbo wake mpya wa ‘No body but Me’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani