Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fiji ndio mabingwa wa raga IRB 7s 2015

Fiji imeibuka mshindi wa taji la dunia la msururu wa raga kwa wachezaji saba kila upande wa IRB, HSBC Sevens

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TANZANIA STARS UNITED BARA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA TAMASHA 2015 LA AFRIKA MASHARIKI YAIFUNGA RWANDA 5-1 NA KUIFUNGA ZANZIBAR 4-0 MECHI YA FAINALI

Wachezaji wa timu ya Tanzania Stars United Bara  wakifurahia kikombe cha utamaduni walichoshinda leo katika mashindao ya Tamasha 2015 yaliyoshirikisha timu 4, Kenya, Rwanda, Zanzibar na Tanzania Stars United Bara. Maratibu wa mashindano hayo Kaka DC (kushoto akiongea na akiwaweka sawa marefa toka Malawi.Manahodha wa timu ya Tanzania Stars United Bara na Rwanda wakiwa katika picha ya pamoja na marefa katika mechi ya kwanza ambayo Tanzania Stars United Bara waliibamiza Rwanda mabao 5-1Kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Australia ndio mabingwa wa Kriketi

Australia iliishinda nguvu New Zealand na hivyobasi kuibuka mshindi wa kombe la dunia la mchezo wa Kriketi kwa mara ya tano

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenya ndio mabingwa wa IAAF

Kenya kwa mara ya kwanza kabisa imeibuka mshindi wa mashindano ya riadha ambayo yamekamilika mjini Beijing nchini China

 

11 years ago

BBCSwahili

Sevilla ndio mabingwa wa Europa

Sevilla ndio mabingwa wa mwaka huu wa taji la Europa baada ya kuilaza Benfica mabao 4-2 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Chile ndio mabingwa wa Copa America

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.

 

11 years ago

Azam FC

Azam FC ndio mabingwa wapya wa Tanzania Bara

Azam FC ndio mabingwa wapya wa Tanzania Bara

 

10 years ago

BBCSwahili

Gor Mahia ndio mabingwa wa ligi kenya

Timu ya Gor Mahia nchini Kenya ndio mabingwa wa Ligi msimu huu baada ya kuishinda kilabu ya Ushuru mabao 3-0.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani