Filamu ya Wambura ‘Party Three’
Wakati Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikikaa leo kujadili rufaa ya Michael Wambura, Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeshangazwa na kitendo cha TFF kuruhusu kamati hiyo kukaa huku kamati ya maadili ya TFF ikishindwa kufanya hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MVRx5TzYqLk/Vj8hK_gzVkI/AAAAAAAAL6o/oWuOTiIWz8E/s72-c/Wema%2Bkwa%2BJames%2BBond.jpg)
Party ya uzinduzi wa filamu ya James Bond, Spectre ilivyofana
WATU mbalimbali walihudhuria hafla ya uzinduzi wa filamu ya Spectre ya James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market chini ya udhamini wa Belvedere Vodka, Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, mwakilishi wa kampuni ya QWAY International inayosambaza kinywaji cha Belvedere Vodka,Tanya Mulamula alisema hafla hiyo inalenga kuwakutanisha wadau na kuifurahia filamu hiyo, ikiwa siku moja kabla ya uzinduzi wake.
Filamu ya...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oBy3_lAIuig/Uw9fw2RoP8I/AAAAAAAFQC8/kGkQ8sLWS8w/s72-c/WIndhoek-Draught-Black-Party+(2).jpg)
9 years ago
Voice Of America21 Sep
Tanzania Opposition Party to Take Ruling Party to Court
Voice of America
Voice of America
Tanzania's main opposition party, Chadema, says it will file a lawsuit Monday against the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) and its presidential candidate John Magufuli after accusing them of “stealing” the party's symbols, logo and manifesto. This, the ...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...