Filikunjombe: CCM imenipa heshima
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Ludewa anayemaliza muda wake, Deo Filikunjombe (CCM), amesema hatua ya kuchaguliwa na wana Ludewa na kisha kuteuliwa na chama chake kwa mara ya pili ni kitendo cha heshima kwake na wapiga kura wake.
Hayo ameyasema jana alipokuwa akizungumza na MTANZANIA, ambapo alisema pamoja na kupata changamoto wakati wa kura za maoni lakini bado atazifanyia kazi hoja za waliokuwa washindani wake ili kuweza kumaliza kero za wana Ludewa.
“Ninawashukuru sana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s72-c/AS%2B1.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s640/AS%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aROwNFl69w/ViI2BDRZS6I/AAAAAAABKFI/rWSh4AN71yQ/s640/AS%2B2.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mke wa Marehemu Bi Sarah Filikunjombe wakati wa kuaga mwili wa marehemu...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Magufuli ashiriki kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya Helikopta
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s72-c/_MG_6798.jpg)
DKT MAGUFULI ASHIRIKI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKA KATIKA AJALI YA HELIKOPTA..
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Mrithi wa Filikunjombe CCM kupatikana leo
9 years ago
TheCitizen11 Nov
CCM picks Filikunjombe successor tomorrow
11 years ago
Mtanzania07 Aug
Filikunjombe: CCM imekosea kuendelea na Bunge la Katiba
![Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Deo-Filikunjombe.jpg)
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe
NA WAANDISHI WETU
MBUNGE wa Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM), amesema kitendo cha wabunge wa CCM kuendelea na mkutano wa Bunge Maalum la Katiba ni matumizi mabaya ya wingi wao ndani ya Bunge hilo.
Pamoja na hayo, amesema haungi mkono hatua iliyofikiwa ya kitendo cha wajumbe wenzake wa CCM kuendelea na mchakato wa Katiba mpya kwa sababu swala la Katiba halina mshindi.
Alisema kitendo kilichofanywa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kususia vikao vya Bunge...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Makada tisa CCM wajitosa kumrithi Filikunjombe
9 years ago
Habarileo10 Dec
'Mapambano ya ufisadi yanaipa heshima CCM'
MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (CCM), amesema juhudi za Rais Dk John Magufuli za kudhibiti wakwepa kodi zinakipa heshima kubwa chama chao katika mapambano dhidi ya ufisadi.