Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FILM SUBMISSION REMINDER/KUKUMBUSHWA KUWASILISHA FILAMU

Habari Wadau
Naomba tusaidiane kuwa kumbusha wadau wote wa Tasnia ya Filamu nchini kuwa mwisho wa kupokea Filamu kwaajili ya Tamasha la Filamu la Nchi za Jahazi (ZIFF) ni Tarehe 31/01/2015 kwa waandaaji filamu wote wa ndani na nje ya nchi.

Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo. Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI FILM SCRIPT SUBMISSION

ZIFF Now accepts sample film scripts for Short Films or Feature length Films for applicants to the Script writing Workshops to be held during ZIFF 2015.
ZIFF imeanza kupokea miswada ya skript za filamu ndefu na fupi kwa wanaotaka kujiunga na Warsha za uandishi wakati wa ZIFF 2015..
Contact/Wasiliana na:Phone: +255 773411499           +255 777350700e-Mail filmdept@ziff.or.tzNawatakia Siku njema.
Regards:omary mdogwa

 

9 years ago

Dewji Blog

Film submission for ZIFF 2016 are now open!!

zanzibar-international-film-festival

ZIFF is excited to announce that the submission for films for the 2016 edition of ZIFF is now open. Festival Director Prof Martin Mhando has confirmed that despite the fears that the two major festivals of Zanzibar will be cancelled next year, ZIFF 2016 will be holding its 19th edition from July 9th – 17th 2016.

Following the announcement of the cancellation of the Sauti ya Busara music festival for 2016, many had feared ZIFF would follow suit at an attempt to encourage more government...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

10 years ago

Michuzi

ZIFF YAWAKUMBUSHA WADAU WA FILAMU NCHINI KUWASILISHA FILAMU ZAO

WADAU wote wa Tasnia ya Filamu nchini,wanakumbushwa kuwa mwisho wa kupokea Filamu kwaajili ya Tamasha la Filamu la Nchi za Jahazi (ZIFF) ni Tarehe 31/01/2015 kwa waandaaji filamu wote wa ndani na nje ya nchi.
"Kama wewe ni Mtanzania na unataka kuwasilisha filamu yako basi wasiliana na Ibra Mitawi +255 713 300997 au +255 783 300997 au mnaweza kutuma ofisini Zanzibar moja kwa moja, hatutapokea filamu yeyote baada ya tarehe hiyo". 
Tunaomba pia mjaribu kuweka filamu ikiwa ndani ya DVD moja na si...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hawa Ndio Washindi wa Tuzo za Taifa za Filamu, Tanzania Film Awards (TAFA)

1. Best Actress In Leading Role: Irene Paul
2. Best Comedian:  King Majuto
3 .Best Supporting Actress: Grace Mapunda
4. Best Supporting Actor (Male):  Tino Hisani Muya
5. Best Screenplay:  Irene Sanga
6. Tribute Award (Film Industry Support) : President Jakaya Kikwete
7. Tribute Personality Award: Steven Kanumba
8. Tribute Media : Zamaradi Mketema For Takeone(Clouds TV/Fm)
9. Life Time Achievement Award:  Mzee Jangala
10. Best Feature Film : Network
11. Best Director : John Kalaghe
12. Best...

 

11 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA BURE YA UIGIZAJI FILAMU NA UIMBAJI: RAFIKI ELIMU MUSIC & FILM ACADEMY

·        Je  wewe  ni  kijana  wa  kitanzania? ·       Una  umri  wa  kuanzia  miaka 15  na  kuendelea ? ·       Una  ndoto za  kuwa  muigizaji filamu  mkubwa  nchini  Tanzania? ·       Una  ndoto  za  kuwa  mwanamuziki ama  muimbaji  mkubwa hapa  Tanzania ? RAFIKIELIMU  MUSIC &FILM  ACADEMY   ni  kituo  kinachotoa  mafunzo  ya  UIGIZAJI  na  UIMBAJI  kwa  vijana wa kitanzania  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  kumi  na  tano na  kuendelea. Wahitimu  wa  mafunzo  haya  hupata  nafasi  ya ...

 

10 years ago

Michuzi

FILAMU KUTOKA PROIN PROMOTIONS LIMITED ZAFANIKIWA KUPITA MCHUJO WA KUONYESHWA KATIKA TAMASHA LA ARUSHA FILM FESTIVAL 2014

Kava la Filamu ya KITENDAWILI iliyochezwa na Single Mtambalike au Rich Rich, Irene Veda na Haji Adam ambayo inasambazwa na Kampuni ya Proin Promotions LimitedKava la Filamu ya NETWORK iliyochezwa na MONALISA NA BRIAN ambayo inasambazwa na Kampuni ya Proin Promotions Limited.

Tamasha la Arusha Film Festival ni tamasha la kimataifa ambalo linatarajiwa kufanyika kwa Mara ya Tatu mfululizo, ambapo litaanza tarehe 20 mpaka 27 Mwezi wa tisa (september) Jijini Arusha.

Arusha Film Festival 2014...

 

10 years ago

TheCitizen

Music & Film Combine at Zanzibar International Film Festival 2015

Monday was a special day at ZIFF 2015, with a unique and memorable day of film and music in perfect harmony.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani