Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FLORA MVUNGI AFUNGUKA UHUSIANO WAKE NA DUDE

Tunamalizia makala haya tuliyoyaanza wiki iliyopita. Flora amefunguka mengi yahusuyo safari yake ya kisanaa!
ENDELEA… UHUSIANO NA DUDE
Mwandishi: Kuna tetesi kwamba ulikuwa na uhusiano na Dude na alitaka akuoe?
Flora: Dude namheshimu sana na mara nyingi alikuwa ananipenda kwa sababu nilikuwa mtiifu sana kwake naona ndiyo sababu ya watu kuzungumza maneno hayo. Sikuwahi kufikiria kuolewa na Dude au kuwa na uhusiano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi watapeana tuzo Jumamosi hii

Baada ya kudai kunyimwa nafasi ya kupewa tuzo na waandaji wa tuzo mbalimbali nchini, H.Baba na mke wake Flora Mvungi, Jumamosi hii ndani ya hoteli ya Giraffe Ocean View wanatajia kupeana tuzo wao kwa wao. Akizungumza na Bongo5, H.Baba amesema kuna mashabiki wao wengi wanapenda kuwaona wakipewa tuzo hali ambayo haijawahi kutokea. “Hizi ni tuzo […]

 

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili

H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili. Akizungumza na 255 ya XXL leo, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake. “Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nay Wa Mitego afunguka uhusiano wake na Shamsa Ford

Staa wa Bongo Fleva,Elibarik Emmanuel ‘Nay Wa Mitego’amefunguka uhusiano wake na mwigizaji wa filamu za Kibongo,Shamsa Ford baada ya picha kadhaa kuzagaa mtandaoni wakiwa kimahaba wakipigana mabusu.Akipiga Stori na Clouds Fm alisema kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yoyote kwa sasa siyo tu Shamsa Ford, na nafasi ipo kwa yoyote anatakayekubali kuwa mpenzi wake.

‘’Jamani nipo singo kwa sasa sina uhusino na mwanamke yoyote na Shamsa siyo mpenzi wangu,’’alisema Nay. Akizungumzia picha...

 

10 years ago

Mwananchi

Aunt Ezekiel afunguka kuhusu uhusiano wake na Waziri Nyalandu

Umewahi kusikia mwigizaji Aunt Ezekiel akihusishwa na uhusiano na Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu? Basi mwigizaji huyo amefunguka na kuwajia juu wale wote wanaomchafua na kudai kuwa hakuna kama baba wa mtoto wake Mose Iyobo.

 

9 years ago

Bongo5

Wilfred Zaha afunguka kuhusiana na uhusiano wake na binti wa David Moyes

article-3297483-2DF6117C00000578-956_308x310Kiungo wa Crystal Palace, Wilfred Zaha amefunguka na kusema hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na binti wa aliyekuwa kocha wa Manchester United, David Moyes. Zaha amesema hayo alipohojiwa na Sportsmail na kusema, hajawahi hata kukutana na Lauren ambaye alizushiwa kwamba alikuwa na uhusiano naye kimapenzi, hali iliyosababisha Moyes kutompanga kwenye mechi kibao. Hata hivyo, […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Jokate Mwegelo Afunguka kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Uhusiano Wake na Alikiba

Wengi wanaamini kuwa Jokate Mwegelo na Alikiba kwasasa ni mtu na mpenzi wake japo wao hawajathibitisha hilo rasmi. Tetesi na hisia juu ya wawili hao kuzama kwenye dimbwi la mahaba zinachangiwa na picha zao kadhaa zinazoenea kwenye mtandao picha wa Instagram.

Lakini hatimaye Jokate amefunguka kwa mara ya kwanza kupitia mahojiano yake na Global TV. “Ni kwasababu Alikiba anapenda sana muziki na anajua muziki na anajua style mbalimbali.

Halafu ukitaka kuwa the best you obviously need to be...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI: MVUNGI NDOA MWAKA MMOJA, MTOTO MMOJA

ELIMU
Dada nakukubali sana, vipi kuhusu kiwango chako cha elimu? Fura, Hedaru, 0714403227
FLORA: Nina elimu ya kidato cha sita na Diploma ya Uandishi wa habari. Msanii wa Bongo Muvi na muziki Bongo, Flora Mvungi akiwa na mwanaye Tanzanite. NDOA NA UIGIZAJI
Hivi dada Flora unawezaje kuitumikia ndoa yako kikamilifu huku ukijishughulisha na uigizaji? Amiri Salumu, Dar, 0653252416
FLORA: Ni kujipanga tu, yote yanawezekana....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Flora Mvungi: Sijabahatisha

NYOTA wa filamu za Kibongo ‘Bongo Movie’ aliyegeukia muziki wa Bongo Fleva, Flora Mvungi, amesema hajaingia katika tasnia ya muziki huo kwa kubahatisha, kwani alianza kuimba kabla watu hawajamfahamu kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani