Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Forge a democratic Zanzibar, Moyo tells CCM

Veteran politician and founding member of the Tanzania, Zanzibar Union, Hassan Nassor Moyo had said that the CCM led government was not ready to forge democracy in Zanzibar.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Moyo atimuliwa CCM Zanzibar

Zanzibar. Chama cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimemfukuza uanachama Mwanasiasa Mkongwe Hassan Nassor Moyo baada ya kubainika amekuwa akifanya vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili ya chama ikiwamo kuhutubia mikutano ya hadhara inayoitishwa na Chama cha Wananchi (CUF) na kukejeli misingi ya Mapinduzi na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar imefahamika visiwani humo jana.

 

10 years ago

Vijimambo

Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Raila in Zanzibar for Peace Meet, Praises Tanzania for Democratic Transition


Raila in Zanzibar for Peace Meet, Praises Tanzania for Democratic Transition
AllAfrica.com
Cord leader Raila Odinga has lauded Tanzania's President Jakaya Kikwete for steering a credible and democratic leadership transition. Raila emphasised the need to adhere to constitutional term limits for African leaders, during their meeting on Monday.

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.

WAJUMBE wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein,MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Dkt. Mohammed Gharib Bilal wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana kupitisha Jina la Mgombea wa Urais wa Zanzibar.VIONGOZI wa Meza Kuu wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano.NAIBU Katibu...

 

11 years ago

TheCitizen

Don’t fear the opposition, JK tells CCM

>CCM national chairman President Jakaya Kikwete has asked members of his ruling party to stand firm and defend it whenever it is threatened.

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Moyo afukuzwa CCM

hassan-nassor-moyoNA SARAH MOSSI, ZANZIBAR

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemfukuza uanachama mmoja wa waasisi wa chama hicho Visiwani, Mzee Hassan Nassor Moyo.

Hatua hiyo ilitangazwa jana na Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja, Aziza Iddi Mapuri katika taarifa aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini hapa.

Mapuri alisema Mzee Moyo anadaiwa kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubaliana na sera za chama chao.

Alisema Mzee Moyo alitumia majukwaa ya siasa katika mikutano...

 

10 years ago

Habarileo

Nassor Moyo afukuzwa CCM

Mzee Hassan Nassour Moyo.MWANASIASA mkongwe na kada wa CCM aliyepata kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwaziri, Mzee Hassan Nassor Moyo amefukuzwa uanachama wa chama hicho ambacho yeye ni mmoja wa waasisi wake, akiwa mwanachama namba 7.

 

11 years ago

TheCitizen

WARNING: Keep off Katiba process, CCM tells Warioba

>CCM has asked the chairman of the disbanded Constitution Review Commission (CRC), Mr  Joseph Warioba, and his commissioners to stop interfering in the country’s constitution making process.

 

9 years ago

TheCitizen

Kikwete tells Uhuru he’s sure CCM will retain the presidency

President Jakaya Kikwete has told his Kenyan counterpart Uhuru Kenyatta that Tanzania’s incumbent party, the CCM, will emerge victorious in the General Election come October 25.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani