Francois Hollande azuru Afrika Magharibi
Rais wa Ufaransa Francois Hollande ameanza ziara ya siku tatu katika kanda ya Afrika Magharibi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-231cf0zEJRE/VMpHhX-0Q0I/AAAAAAACy4k/UDrpoboyvaM/s1600/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s72-c/h2.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q86NUVMT8ZE/VMpJoMSMB2I/AAAAAAAHAL4/7CaC8wZsKW4/s1600/h2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-N6Stjz-dmzg/VMpJoV6Rj6I/AAAAAAAHAL8/AUdyG0NOAdI/s1600/h3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AUX-ShPiuC4/VMpJoheXy3I/AAAAAAAHAMA/3iXCjNe8HgY/s1600/h4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qnx5OvXcXGk/VMpJqT-IBsI/AAAAAAAHAMQ/8mwKZsk2wqo/s1600/h5.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
Ebola yatikisa Afrika Magharibi
Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Ebola kutokomezwa Afrika magharibi
Nchi za Afrika magharibi zimekubaliana kuweka mikakati ya pamoja kupambana na ugonjwa wa Ebola
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
KQ kuendelea na safari Afrika Magharibi
Kenya Airways imesema kuwa athari ya kuambukizwa homa ya Ebola kwa kuzuru Magharibi mwa Afrika sio kubwa.
10 years ago
BBCSwahili16 Aug
KQ yavunja safari za Afrika Magharibi
Shirika la ndege la Kenya latangaza kusimamisha safari za kwenda nchi mbili za Afrika Magharibi
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
Emirates yakwepa Afrika Magharibi
Shirika la ndege la Emirates lavunja safari za kwenda Afrika Magharibi kwa sababu ya Ebola
10 years ago
Habarileo09 Oct
Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi
MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Ebola yapungua Afrika Magharibi:MSF
Mkuu wa shirika la madawa la kimataifa la madaktari wasio na mipaka MSF, Joanne Liu amesema mlipuko wa Ebola umepungua.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania