Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FREEMASON KUTOA RAISI 2015

Sir Andy Chande akiwa na Rais Jakaya Mrisho Kikwete Na Mwandishi Wetu  WAKATI nchi ikielekea kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu, jamii ya siri ya Freemasons inayotimiza miaka 111, Oktoba mwaka huu tangu iingie Afrika Mashariki, inadaiwa kuwa na mgombea wa urais mwenye baraka zote kutoka kwao ambaye ndiye atakayeibuka mshindi wa kiti hicho. Sir Andy Chande akiwa na waziri mkuu mstahafu Fredrick Sumaye
Vyanzo vya habari...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA PONGEZI KWA MH.RAISI WA TANZANIA, RAISI WA ZANZIBAR NA VIONGOZI WOTE WALIOFANIKISHA KUPATIKANA KWA KATIBA INAYOPENDEKEZWA.


Ndugu viongozi wote wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi diaspora, wawakilishi wa serikali ya Tanzania ndani na nje ya nchi, taasisi za kitaifa na kimataifa, mashirika ya kijamii, mashirika binafsi, viongozi mbalimbali; itifaki imezingatiwa.
Awali ya yote napenda kumshukuru M/Mungu kwa kutupa uzima na afya njema kuweza kutekeleza majukumu yetu ya kila siku ikiwemo kusimamia sera na utendaji wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi huku diaspora. Pia napenda...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU OFISI YA RAISI ZANZIBAR, MHE. SALUM MAULID AFUNGA MKUTANO WA TANZANIA DIASPORA BUSINESS CONVENTION 2015 NCHINI UINGEREZA

Mheshimiwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula (kati), Mheshimiwa Balozi wa Tanzania, Uingereza, Peter Kallaghe (pili kushoto), Mheshimiwa Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi Zanzibar, Bwana Salum Maulid (kushoto), Mwenyekiti wa Watanzania waishio Birmingham, Prince Katega (pili kulia), dada Gradys Katega (MC) wakiwa pamoja na Kamati ya Mkutano wa Tanzania Diaspora Business Convention 2015.Mheshimiwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula (kati), Mheshimiwa Salum Maulid ,Katibu Mkuu Ofisi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kutoa taswira ya ushindani 2015

UCHAGUZI wa serikali za mitaa unafanyika leo nchini kote ambapo chama tawala CCM, kinashindana na vyama vya upinzani katika kujenga nguvu kwa ajili ya kushinda uchaguzi mkuu ujao mwakani.

 

10 years ago

GPL

TANZANIA AWARDS INTERNATIONAL LTD KUTOA ‘TUZO YA JAMII’ APRILI 2015

Mwenyekiti wa Tanzania Awards International Ltd,  Deonatus Julius Malegesi (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mkuu wa kitengo cha Utafiti, Nyaraka na Majadiliano, Sylivester  Mayunga,  akitoa ufafanuzi baada ya kuulizwa swali na wanahabari. Wanahabari wakiwa kazini  kwenye hafla hiyo. KAMPUNI  ya Tanzania…

 

11 years ago

GPL

MAASKOFU, FREEMASON...

BAADHI ya viongozi wa dini nchini wamesema kwamba Watanzania wengi wamekuwa na imani na mambo ya kishirikina wakiamini kuwa wanaweza kubadili maisha kwa njia ya kuwa wanachama wa Imani ya Freemason badala ya kutumia akili huku wakiweka imani kwa Mungu. Akizugumza kupitia Radio Wapo FM, Rais wa WAPO Mission International, Askofu Sylvester Gamanywa amesema Januari 14, mwaka huu alitangaza Oparesheni Milikisha ambaypo watu wanaweza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Raisi wa Everton afariki dunia

Rais wa heshima wa klabu ya Everton Sir Philip Carter amefariki akiwa na miaka 87.

 

11 years ago

GPL

DK. CHENI: FREEMASON WANANITESA

Stori: Brighton Masalu
MINONG’ONO na uvumi unaotambaa kwa kasi kuwa anajihusisha na taasisi ya wajenzi huru (Freemasons), unazidi kumtesa msanii wa filamu za Kibongo, Mahsein Awadhi Said ‘Dk. Cheni’ kwa madai ya kwamba anajisikia vibaya anaponyoshewa vidole na baadhi ya wadau wa tasnia hiyo. Dk. Cheni. Mwishoni mwa wiki iliyopita, mwandishi wetu alisikia fununu kutoka kwa wadau wengi wa filamu wakiwemo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Madaha :Nawazimikia Freemason!!!

Mwanamuziki na mwigizaji wa filamu, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya aina yake baada ya kusema anavutiwa na taasisi huru ya imani ya Freemason kutokana na umakini mkubwa walionao kwenye kazi zao.

 Akipiga stori na paparazi wa GPL, Baby alisema watu wengi wamekuwa wakizungumza kwa mitazamo tofauti kuhusiana na Freemason lakini kiuhalisia, watu wa imani hiyo ni makini wanaojitambua na kujiheshimu.

“Hawa jamaa kiukweli siyo wa kuchezewa kabisa, lakini ukweli tu ni kwamba nawazimikia mno na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani