FRIENDS OF DEVELOPMENTS (FOD) na Bigright YAANDAA MAPAMBANO ya NDONDI JIJINI DAR ES SALAAM mwezi ujao
![](http://3.bp.blogspot.com/-RFSF5tvDd-0/VbFI53O6YNI/AAAAAAAHrYI/2rhfEX9_k1g/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Kampuni ya bigright promotion inategemea kuandaa pambano la masumbwi litakalopigwa tarehe 6/9/2015 katika ukumbi wa vijana , kinondoni jijini Dar es salaam.Katibu wa ngumi za kulipwa ambaye ndie mratibu wa mpambano huo Ibrahim Kamwe (Bigright) amesema pambano hilo limeandaliwa kwa ajili ya kuamsha vijana kujituma na kujijengea mazingira ya kupenda kufanya kazi na sio kukaa vijiweni na kujiingiza katika utumiaji wa madawa na ukabaji.Bigright promotion ikishirikiana FRIENDS OF DEVELOPMENTS...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Sep
VIJANA WAONYESHANA UMWAMBA KATIKA MAPAMBANO YA NDONDI JIJINI DAR
10 years ago
MichuziCHADEMA YAANDAA KONGAMANO LA WAZEE, KUFANYIKA KESHO HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziOfisi ya Kambi ya Upinzani Bungeni yaandaa futari wakati wa kikao cha ukawa jijini Dar es salaam
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DTReLqYMeos/VajaqK-iGRI/AAAAAAAC8ms/TeNvhn6H6Ok/s72-c/EXIM%2BFOUR.jpg)
BENKI YA EXIM TANZANIA YAANDAA TENA FUTARI KWA AJILI YA WATEJA WAKE JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DTReLqYMeos/VajaqK-iGRI/AAAAAAAC8ms/TeNvhn6H6Ok/s640/EXIM%2BFOUR.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NqttUpl_Wt4/VajaoKIiGDI/AAAAAAAC8mc/JVHpfE8bnQI/s640/EXIM%2BONE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vlOuxKpBXWk/VajaoyO_CUI/AAAAAAAC8mk/a9HEPO27fvQ/s640/EXIM%2BTHREE.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TiLmTEv62zQ/Vb9XOO_UEII/AAAAAAAD2Kc/tBonoJgogBo/s72-c/fod1.jpg)
F.O.D - rafiki wa maendeleo. FRIENDS OF DEVELOPMENTS
![](http://4.bp.blogspot.com/-TiLmTEv62zQ/Vb9XOO_UEII/AAAAAAAD2Kc/tBonoJgogBo/s640/fod1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_n3rKeYZP4/Vb9XOO1ToOI/AAAAAAAD2Kg/E5YVrxivqHQ/s640/lulu%252C%2Bbigright%2Bna%2Brecho%2Bwashea%2Bfuraha%2Bna%2Bfod%2Bkwa%2B%2Bpamoja.jpg)
10 years ago
VijimamboBODI YA UTALII TANZANIA (TTB), YAANDAA ONESHO LA SITES KUFANYIKA UKUMBI WA MLIMANI CITY OKTOBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mkutano kujadili ujangili mwezi ujao Dar
SERIKALI imeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili nchini kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa. Imeandaa mkutano wa kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kuzuia ujangili na kupiga marufuku biashara ya vifaa vinavyotengenezwa kwa meno ya tembo halali na haramu.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lE45k0j2fqY/VE9_CG4V-fI/AAAAAAACt0M/7CzAejS8cWI/s72-c/9.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MAONESHO YA MWEZI WA WANAWAKE WAJASILIAMALI (MOWE) JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lE45k0j2fqY/VE9_CG4V-fI/AAAAAAACt0M/7CzAejS8cWI/s1600/9.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5R4VbeNsaGI/VE-CiYTXbpI/AAAAAAACt0k/AhqFkQieli8/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kivuko kipya cha Mv Dar kuwasili nchini mwezi ujao
NA MUSSA YUSUPH
SERIKALI imetangaza kukamilika kwa ujenzi wa Kivuko kipya cha Mv Dar es Salaam,
kitakachokuwa na uwezo wa kuvusha watu zaidi ya 300 kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo.
Kukamilika kwa kivuko hicho, kinachotarajiwa kuwasili nchini katika kipindi cha wiki tatu zijazo,kunatokana na jitihada za serikali katika kupunguza msongamano wa magari na shida ya usafiri kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Mbali na uwezo wa kubeba idadi kubwa ya abiria, kivuko hicho pia kitakuwa na kasi...