Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUMANIZI LISIKIE KWA MWENZAKO

JOSEPH NGILISHO, ARUSHA NIkweli! Kashikashi za kuambiwa umefumaniwa zisikie kwa mwenzako tu! Utakuta mtu mkubwa, bonge, lakini akidaiwa amefumaniwa, nguvu zote zinakwisha! Sijui kwa nini?! Aldina Hashim akitaitiwa. Mfanyabiashara mmoja wa jijini hapa ‘pedeshee’ aliyejulikana kwa jina la Aldina Hashim, mkazi wa Unga Limted, amechezea kichapo baada ya rafiki yake kipenzi, Emmanuel Mwambije kudai amemfumania na mke...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tumechoka, sikio la kufa lisikie dawa sasa

Ukiombwa utoe sababu kwa nini michezo nchini imeshindwa kuleta tija hasa katika eneo la kimataifa, bila shaka kapu kubwa litahitajika ili kujaza sababu hizo kutokana na ukweli kwamba ziko nyingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumechoka kweli, sikio la kufa lisikie dawa sasa

Ukiombwa utoe sababu kwa nini michezo nchini imeshindwa kuleta tija hasa katika eneo la kimataifa, bila shaka kapu kubwa litahitajika ili kujaza sababu hizo kutokana na ukweli kwamba ziko nyingi.

 

11 years ago

GPL

USIFURAHIE MATESO YA MTOTO WA MWENZAKO

IMEKUWA desturi yangu, lazima nianze kwa kulitanguliza mbele jina la Bwana Mungu wangu kabla ya kufanya jambo lolote kwa sababu nimefundishwa kuamini kwamba bila yeye hakuna kinachowezekana. Nimekuwa nikirudia mara kadhaa kuwaambia kuwa baadhi yetu, labda kwa fedha au mali tulizonazo, tunajiona kama wajanja wenye weledi wa hali ya juu. Sophia Simba. Tumesahau kwamba ujanja na weledi wote tulionao, umetokana na kudura zake Mungu...

 

10 years ago

GPL

HATUA KWA HATUA FUMANIZI X-MAS

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah Shabaash! Mwanamke mmoja, mkazi wa Mikocheni A, Dar, Catherine Kayombo ‘Catty’ anadai kumfumania mumewe aliyemtaja kwa jina la Excavery Kayombo akiwa na mchepuko alioutaja kwa jina la Mariamu Kauke ‘Mamuu’ ndani ya Sikukuu ya Krismasi ‘X-Mas’, Ijumaa Wikienda limesheheni. Mchepuko… ...

 

11 years ago

GPL

HESHIMU NAFASIYA MWENZAKO KWENYE MAPENZI

MAPENZI ni sanaa yenye wigo mpana sana. Unahitajika uwe mbunifu ili uweze kuendelea kuwa bora kwa mpenzi wako kila siku. Lazima uwe mtafutaji wa kitu kipya ili uweze kuwa wa tofauti kwa mwenzako.Huwezi kuwa yuleyule, ikiwa hivyo maana yake utakinaiwa. Naam! Love & Life ni safu nzuri kwako kwa ajili ya kuongeza maarifa na kukufanya uendelee kuwa bora zaidi kwa mpenzi wako. Rafiki zangu, nataka kuzungumzia mada moja muhimu sana....

 

10 years ago

Vijimambo

SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI

Utafiti ambao umefanyika unaonesha kuwa, asilimia kubwa wapo kwenye uhusiano na watu ambao siyo waliopangiwa na Mungu kuwa nao.Kutokana na hilo ndiyo maana utakubaliana na mimi kwamba, usaliti umekuwa ukishamiri, watu wamekuwa wakiachana kila siku na wengine kuendelea kuishi pamoja lakini si kwa amani.

Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume wa mtu kutokea kumpenda sana mke wa mtu au kinyume chake.

Pia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ya kukaa mbali na mwenzako uwapo kazini

Virusi vya corona: Jinsi ya kukaa mbali na mwenzako uwapo kazini

 

10 years ago

GPL

SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI…

Utafiti ambao umefanyika unaonesha kuwa, asilimia kubwa wapo kwenye uhusiano na watu ambao siyo waliopangiwa na Mungu kuwa nao.Kutokana na hilo ndiyo maana utakubaliana na mimi kwamba, usaliti umekuwa ukishamiri, watu wamekuwa wakiachana kila siku na wengine kuendelea kuishi pamoja lakini si kwa amani. Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume...

 

10 years ago

GPL

FUMANIZI LA MWALIMU

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro    
KATIKA hali ya kutisha, fumanizi lililoambatana na bonge moja la mtiti linadaiwa kujiri nyumbani kwa mwalimu ‘ticha’ wa Shule ya Msingi ya Mafisa ‘A’, iliyopo Manispaa ya Morogoro mjini hapa aliyefahamika kwa jina la Rosemary Mkoba kisha watu wakachomana visu. Mume wa mtu, Raphael Bernard (33) aliyechomana visu na mwalimu baada ya fumanizi. HABARI...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani