Fursa za ajira kwa mtandao kuwafi kia waombaji wengi
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
AJIRA ni kitu muhimu kwenye maisha ya binadamu kwa kuwa baadhi yao uwamini kwamba ndio chanzo cha kumudu gharama na mahitaji katika maisha.
Umuhimu huo ndio sababu ya kuwapo kwa baadhi ya wanafunzi walio kwenye viwango mbalimbali vya elimu nchini wanao amini ajira ndio itawafanya kufikia malengo yao endapo watasoma kwa bidii.
Hivyo baada ya kuhitimu elimu yao wanafunzi hao hutumia njia mbalimbali ili kutafuta kazi kwa kuwa wapo ambao kazi hiyo ufanywa na ndugu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xfZgtCvfaLk/VebUD7v-SkI/AAAAAAAH1xI/hT2TJePda24/s72-c/HESLB%2B1.jpg)
WAOMBAJI MIKOPO WAISHUKURU HESLB KWA KUWAPA FURSA KUREKEBISHA TAARIFA ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-xfZgtCvfaLk/VebUD7v-SkI/AAAAAAAH1xI/hT2TJePda24/s640/HESLB%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-exrfngXy-VQ/VebUD-FixdI/AAAAAAAH1xU/6hbQTEeQ9DY/s640/HESLB%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi02 Jul
10 years ago
Vijimambo09 Jul
FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA UMOJA WA MATAIFA
![](http://vignette2.wikia.nocookie.net/godzilla/images/e/ef/U.N._Logo.jpg/revision/latest?cb=20141002175403)
What is the UN Young Professionals Programme?The Young Professionals Programme (YPP) is a recruitment initiative for talented, highly qualified professionals to start a career as an international civil servant with the United Nations Secretariat. It consists of an entrance examination and professional development programmes once successful candidates start their career with the UN.Who can apply?Any...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Ajira za serikalini sasa kwa mtandao
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jul
Brightermonday Tanzania yatoa fursa kwa wanaotafuta ajira kuwatembelea kwenye maonyesho ya Sabasaba
Meneja Masoko wa kampuni ya Brightermonday Tanzania, Lugendo Khalfan ndani ya hema la banda la Jakaya Kikwete akiwa tayari kukuhudumia wewe mtanzania utakayetembelea banda lao katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, yanayoendelea kurindima kwenye viwanja vya Mwl. J.K. Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar.( Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Na Modewjiblog team
Watafuta ajira kote nchini Tanzania wamehamasishwa kujisajili na tovuti ya Brighter monday ili...
10 years ago
Michuzi28 Jan
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Msitafute ajira, tengenezeni fursa
MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade), Jaqueline Mneney amesema wakati wa watanzania kusaka ajira umekwisha, badala yake watambue muda walionao unawataka wanazalishe ajira. Alisema jambo hilo...
10 years ago
Dewji Blog03 Jan
Fursa ya ajira kutoka SUMATRA
251503812-RE-ADVERT9-SUMATRA-EMPLOYMENT-OPPORTUNITY-DRTR-Final-29-12-2014-doc.doc by moblog