Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAOMBAJI MIKOPO WAISHUKURU HESLB KWA KUWAPA FURSA KUREKEBISHA TAARIFA ZAO

 Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Ezra Ndangoya akimwelekeza sehemu ya kuweka sahihi Bw. Sironga Lowassa (kulia) ambaye ni mwombaji wa mkopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika ofisi za HESLB jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Septemba 2, 2015). HESLB inaendelea na kazi ya kurekebisha taarifa za wanafunzi waliokosea kujaza fomu zao za maombi. Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bi. Zahra Kitara (kushoto) akipokea viambatanisho vya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Waombaji mikopo HESLB waendelea kurekebisha taarifa zao

HESLB 1

Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Ezra Ndangoya akimwelekeza sehemu ya kuweka sahihi Bw. Sironga Lowassa (kulia) ambaye ni mwombaji wa mkopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika ofisi za HESLB jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Septemba 2, 2015). HESLB inaendelea na kazi ya kurekebisha taarifa za wanafunzi waliokosea kujaza fomu zao za maombi. (Picha na Eline Maronga-HESLB)

HESLB 2

Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bi. Zahra Kitara...

 

9 years ago

Michuzi

HESLB YAWATAKA WAOMBAJI MIKOPO KUREKEBISHA TAARIFA ZAO

Na Mwandishi Wetu

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 ambao fomu za maombi zimegundulika kuwa na upungufu na kuwataka kufanya marekebisho kabla au ifikapo tarehe 11 Septemba mwaka huu (2015).


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo leo (Ijumaa, Agosti 28, 2015), jumla ya fomu za waombaji wa mikopo 7,788 kati ya 68,445 zilizopokelewa na kuhakikiwa zimegundulika kuwa fomu zina upungufu na kuwataka...

 

11 years ago

Michuzi

NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu

 Benki ya NMB kwa kushirikiana na kampuni tatu yaani Fair Deal Auto Private Ltd inayosambaza pikipiki za miguu miwili na mitatu aina ya Bajaji, kampuni ya Car & General Limited Ltd inayosambaza pikipiki za miguu mitatu aina ya TV’S King pamoja na kampuni ya Quality Motors inayosambaza pikipiki za miguu miwili aina ya Honda wameingia ubia ili kuwawezesha wananchi kupata mikopo nafuu ya kumiliki pikipiki za miguu miwili na mitatu.   Hii yote ni katika kuendeleza azma ya NMB inayolenga kubuni...

 

9 years ago

Mtanzania

Fursa za ajira kwa mtandao kuwafi kia waombaji wengi

Lugendo Khalfan - Cheti (1)NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

AJIRA ni kitu muhimu kwenye maisha ya binadamu kwa kuwa baadhi yao uwamini kwamba ndio chanzo cha kumudu gharama na mahitaji katika maisha.

Umuhimu huo ndio sababu ya kuwapo kwa baadhi ya wanafunzi walio kwenye  viwango mbalimbali  vya elimu nchini wanao amini ajira ndio itawafanya kufikia malengo yao endapo watasoma kwa bidii.

Hivyo baada ya kuhitimu elimu yao wanafunzi hao hutumia njia mbalimbali ili kutafuta kazi kwa kuwa wapo ambao kazi hiyo ufanywa na ndugu...

 

10 years ago

Dewji Blog

HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016

Mkurugenzi Mtendaji - Bw. George Nyatega

Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB – Bw. George Nyatega.

Na Mwandishi Wetu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) jana (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.

Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unaanza kupatakikana leo katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Fursa ya mikopo kwa wajasiriamali wa kati na wafanyakazi

Je umekwama kifedha?,Hujui wapi pa kwenda? Je unahitaji kutimiza ndoto na malengo yako? usihangaike

Kampuni ya mikopo ya wezesha mzawa microfinance ltd inatoa mikopo kwa wajasiriamali wa kati na wafanyakazi wa sekta zote ikiwemo biashara,viwanda na ufugaji.

Kiwango cha mkopo kinaanzia 500,000/= hadi 50,000,000/=

Mkopo unatolewa ndani ya masaa 24

Sifa za mkopaji

.uwe ni mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18
.uwe n uzoefu wa biashara usiopungua
.uwe na namba ya utambulisho wa kodi (TIN)
...

 

11 years ago

Habarileo

HESLB waagizwa kudai fedha za mikopo

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetakiwa kuja na mbinu ya kuhakikisha wanaonufaika na mkopo wa elimu ya juu wanarejesha mkopo ili utumike kwa wanafunzi wengine hivyo kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokosa mikopo hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani