WAOMBAJI MIKOPO WAISHUKURU HESLB KWA KUWAPA FURSA KUREKEBISHA TAARIFA ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-xfZgtCvfaLk/VebUD7v-SkI/AAAAAAAH1xI/hT2TJePda24/s72-c/HESLB%2B1.jpg)
Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Ezra Ndangoya akimwelekeza sehemu ya kuweka sahihi Bw. Sironga Lowassa (kulia) ambaye ni mwombaji wa mkopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika ofisi za HESLB jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Septemba 2, 2015). HESLB inaendelea na kazi ya kurekebisha taarifa za wanafunzi waliokosea kujaza fomu zao za maombi.
Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bi. Zahra Kitara (kushoto) akipokea viambatanisho vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Waombaji mikopo HESLB waendelea kurekebisha taarifa zao
Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bw. Ezra Ndangoya akimwelekeza sehemu ya kuweka sahihi Bw. Sironga Lowassa (kulia) ambaye ni mwombaji wa mkopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016 katika ofisi za HESLB jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Septemba 2, 2015). HESLB inaendelea na kazi ya kurekebisha taarifa za wanafunzi waliokosea kujaza fomu zao za maombi. (Picha na Eline Maronga-HESLB)
Afisa wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Bi. Zahra Kitara...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1ZfaoNtJG1I/VeA_5xf4yBI/AAAAAAAH0nQ/uMNnjHltwQE/s72-c/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
HESLB YAWATAKA WAOMBAJI MIKOPO KUREKEBISHA TAARIFA ZAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-1ZfaoNtJG1I/VeA_5xf4yBI/AAAAAAAH0nQ/uMNnjHltwQE/s320/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo leo (Ijumaa, Agosti 28, 2015), jumla ya fomu za waombaji wa mikopo 7,788 kati ya 68,445 zilizopokelewa na kuhakikiwa zimegundulika kuwa fomu zina upungufu na kuwataka...
11 years ago
Michuzi02 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Fursa za ajira kwa mtandao kuwafi kia waombaji wengi
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
AJIRA ni kitu muhimu kwenye maisha ya binadamu kwa kuwa baadhi yao uwamini kwamba ndio chanzo cha kumudu gharama na mahitaji katika maisha.
Umuhimu huo ndio sababu ya kuwapo kwa baadhi ya wanafunzi walio kwenye viwango mbalimbali vya elimu nchini wanao amini ajira ndio itawafanya kufikia malengo yao endapo watasoma kwa bidii.
Hivyo baada ya kuhitimu elimu yao wanafunzi hao hutumia njia mbalimbali ili kutafuta kazi kwa kuwa wapo ambao kazi hiyo ufanywa na ndugu...
10 years ago
Dewji Blog02 May
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB – Bw. George Nyatega.
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) jana (Ijumaa, Mei 1, 2015) imetoa mwongozo kwa wanafunzi wahitaji wanaotarajia kuomba mikopo na ruzuku kwa ajili ya mwaka wa masomo 2015/2016 unaotarajiwa kuanza miezi michache ijayo.
Kwa mujibu wa mwongozo huo, ambao unaanza kupatakikana leo katika tovuti ya Bodi (www.heslb.go.tz), waombaji wote wamepewa takribani miezi miwili kuwasilisha maombi yao kuanzia Jumatatu,...
9 years ago
Dewji Blog04 Sep
Fursa ya mikopo kwa wajasiriamali wa kati na wafanyakazi
Je umekwama kifedha?,Hujui wapi pa kwenda? Je unahitaji kutimiza ndoto na malengo yako? usihangaike
Kampuni ya mikopo ya wezesha mzawa microfinance ltd inatoa mikopo kwa wajasiriamali wa kati na wafanyakazi wa sekta zote ikiwemo biashara,viwanda na ufugaji.
Kiwango cha mkopo kinaanzia 500,000/= hadi 50,000,000/=
Mkopo unatolewa ndani ya masaa 24
Sifa za mkopaji
.uwe ni mtanzania mwenye umri usiopungua miaka 18
.uwe n uzoefu wa biashara usiopungua
.uwe na namba ya utambulisho wa kodi (TIN)
...
11 years ago
Habarileo17 Apr
HESLB waagizwa kudai fedha za mikopo
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetakiwa kuja na mbinu ya kuhakikisha wanaonufaika na mkopo wa elimu ya juu wanarejesha mkopo ili utumike kwa wanafunzi wengine hivyo kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokosa mikopo hiyo.