Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


G7 yatangaza mikakati ya kuinusuru dunia

Mkutano wa nchi tajiri za viwanda G7,umetangaza mikakati ya kuondosha gesi chafu ya sumu na mabadiliko ya tabia ya nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Iwepo mikakati ya kuinusuru Dar es Salaam

Meya wa Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam, Jerry Silaa jana aliripotiwa na gazeti hili akisema kuwa Dar inakufa.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yatangaza mikakati ya kuimarisha shilingi

Waziri wa Fedha, Saada MkuyaWAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum amesema kupatikana kwa mikopo ya kibiashara yenye thamani ya dola za Marekani milioni 500 zitasaidia kupunguza kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania.

 

10 years ago

Dewji Blog

www.TanzaniaBox.com yatangaza kurusha sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta mtandaoni dunia nzima

Attachment-1 (1)

www.TanzaniaBox.com kwa kushirikiana na Clouds TV imetangaza kurusha mtandaoni moja kwa moja sehemu ya matangazo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ambalo mwaka huu litashereheshwa na mwanamuziki kutoka Marekani, T.I ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Grammy.

Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tarehe 18 mwezi wa kumi mwaka 2014

Kwa mujibu wa www.TanzaniaBox.com baadhi ya vipande vya sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta na matukio maalumu ya nyuma...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazungumzo zaidi ya kuinusuru Ugiriki

Mawaziri wa kanda inayotumia sarafu ya Euro wataamua ikiwa Ugiriki itapokea mkopo wa dharura baada ya kushindwa kulipa deni lake

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkakati wa Amani wa kuinusuru Gaza

Mahasimu Israel na Hamas sasa wakubali kuzingatia mapendekeo yaliyotolewa na Misri.ya kusitisha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ulaya kuridhia kuinusuru Ugiriki?

Ugiriki imeomba kupatiwa muda zaidi kudhaminiwa ili kujinusuru kuwa Mufilis

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani kuridhia kuinusuru Ugiriki?

Wabunge nchini Ujerumani wanatarajiwa kupiga kura kuridhia au kukataa kuiongezea muda zaidi Ugiriki kuipa msaada wa fedha

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete azingatie ushauri wa CCT kuinusuru nchi 

KAMA Rais Jakaya Kikwete anataka akumbukwe kwa mazuri aliyowafanyia Watanzania baada ya kumaliza awamu yake ya pili ya uongozi, ajirudi na kuwaambia wenziye wa CCM kukubaliana na maoni ya wananchi...

 

10 years ago

Dewji Blog

PAC yaishauri Serikali namna ya kuinusuru kampuni ya TTCL

Mwenyekiti-wa-Kamati-ya-Kudumu-ya-Bunge-ya-Hesabu-za-Serikali-PAC-Kabwe-Zitto-kulia-na-Makamu-Mwenyekiti-wa-Kamati-hiyo-Deo-Filikunjombe-wakiwa-katika-majukumu-yao.

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa mapendekezo ya kuinusuru Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kutokana na hali mbaya ya kampuni hiyo kifedha kwa sasa ambapo inaendeshwa kwa hasara huku ikiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani