Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gabrielle Union na Dwyane Wade watua Tanzania kwaajili ya honeymoon

Muigizaji wa filamu wa Marekani, Gabrielle Union na mchezaji wa NBA, Dwyane Wade waliofunga ndoa hivi karibuni, wametua Tanzania kwaajili ya honeymoon. Mastaa hao waliofunga ndoa Aug. 30, wamekuwa wakishare picha kwenye mtandao wa Instagram zinazonesha bata wanazokula kwenye fungate lao katika maeneo mengi duniani. “When the Indian Ocean is ya swimming pool… You dive […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Showbiz Cheat Sheet

Gabrielle Union Shows off Her Natural Hair in an Adorable Picture With Her Daughter

Gabrielle Union Shows off Her Natural Hair in an Adorable Picture With Her Daughter  Showbiz Cheat SheetGabrielle Union Returns to Short, Natural Hair While Isolating — Photo  AllureGabrielle Union & Daughter Kaavia, 1, Are So Cute Rocking Natural Curls: ‘Mama’s Got Hair Like Yours’  HollywoodLifeGabrielle Union & Daughter Rock Matching Hair In Quarantine  Refinery29Gabrielle Union Goes Back to Her Natural Curly Hair  InStyleView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Vijimambo

WAWEKEZAJI WAMAREKANI WATUA TANZANIA KUTIZAMA FULSA ZA UWEKEZAJI

Baadhi ya Marais,Wenyeviti na Wakurugenzi wa Makampuni mbalimbali ya nchini Marekani waliokuja nchini kwa lengo la kutizama fursa za uwekezaji.Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Washington DC,Suleiman Saleh (katikati) akibadilishana mawazo na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kufua Umeme ya TANASI ,William Crawford.Ziara hiyo inayo ratibiwa na Ubalozi wa Tanzania,Washington DC ni ya siku ambapo wageni hao wataembelea sehemu mbalimbali kujionea fursa za uwekezaji.Afisa Ubalozi wa Tanzaini...

 

11 years ago

TheCitizen

Senegal’s Wade to return home

Senegal’s former president Abdoulaye Wade was due to return home today after two years abroad following his election defeat, with his son facing jail for corruption.

 

11 years ago

BBC

Senegal's Karim Wade 'to face trial'

A Senegalese court rules that Karim Wade, the ex-president's son, should stand trial on corruption charges over his wealth, an official says.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Karim Wade on trial - in 15 seconds

Karim Wade, the son of Senegal's ex-President Abdoulaye Wade, makes his first court appearance on corruption charges.

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa the Kop in Tanzania watua anfield kukamilisha usajili wa chama bongo

 Katibu wa The Kop in Tanzania Issa Batenga akiwa katika ofisi kuu ya Bwawa la Maini kukamilisha usajili wa jumuiya hiyo ya wapenzai wa Liverpool nchini leo huko Anfield  Mwenyekiti wa The Kop in Tanzania Musleh akiwa Akiwa Anfield leo Issa Batenga na Musleh wakiwa na furaha baada ya kukamilisha usajili rasmi wa The Kop in Tanzania leo Mojawapo ya jezi ambazo kila mwanachama wa The Kop in Tanzania atapata. Hii ni mwendelezo wa harakati za kudumisha chama cha wapenzi wa Bwawa la Maini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waomba mwana Wade afungwe miaka 7 jela

Wanedsha mashtaka wameomba mwana wa aliyekuwa rais wa senegal ahukumiwe kifungo cha miaka saba kutokana na madai ya ufisadi

 

10 years ago

Vijimambo

FRELIMO WATUA NCHI TANZANIA NA KUKUTANA NA UONGOZI WA CCM TAIFA,MWIGULU NCHEMBA AZUNGUMZA NAO

Kushoto ni Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania,Katikati Mh:Mwigulu Nchemba Naibu katibu Mkuu CCM Bara na Kulia ni Bi,Nyeleti Mondlane ambaye ni Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha FRELIMO Nchini Msumbiji.Ujumbe huu kutoka Msumbiji ulitembea Ofisi za CCM lumbumba jana Tar.18/09/2014 CCM na FRELIMO ni Vyama rafiki na vyote vimeshiriki katika harakati za Ukombozi.Hivi sasa Nchini Msumbiji wapo kwenye Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa RAIS,ambapo FRELIMO imemsimamisha Filipe Nyussi kuwa Mgombe ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani