Gari la Magereza laua mahabusu 4
MAHABUSU wanne waliokuwa wakitokea katika Mahakama ya Mwanzo Kimanzichana, pamoja na askari aliyekuwa akiwasindikiza, wamekufa papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitembea.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
11 years ago
Habarileo24 Apr
Magereza waomba ndugu wa mahabusu waliokufa
MIILI ya mahabusu wanne waliokufa katika ajali iliyotokea juzi wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, inasubiri kutambuliwa na ndugu kwa ajili ya kuendelea na maziko. Kamishna wa Magereza, John Minja alitoa pole kwa familia za mahabusu hao wanne pamoja na askari magereza mmoja waliokufa katika ajali hiyo.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Gari laua watu 3 Mtwara
WATU watatu wamekufa na 12 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi la mbele na kuacha njia na kugonga mti.
11 years ago
Habarileo05 Mar
Gari lapasuka tairi, laua 3
WATU watatu wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi na kisha kugonga daraja na kupinduka katika kijiji cha Ng’ombe wilayani Misungwi.
10 years ago
Habarileo17 Aug
Gari lenye maiti 10 laua ‘bodaboda’, abiria
DEREVA wa bodaboda na abiria wake wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari lililobeba maiti 10 zilizotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Gari maalumu la JWTZ laparamia nyumba, laua
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s72-c/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
WAZIRI KITWANGA, DKT. MWAKYEMBE WATEMBELEA MAGEREZA MAKUU JIJINI DAR ES SALAAM, WAAHIDI KUBORESHA HUDUMA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU
![](http://3.bp.blogspot.com/-f2SQy1S606g/VnY-mGpNf5I/AAAAAAAINbw/p1ij0jlwUeU/s640/097e0525-05e1-478b-8c00-02f672a850fb.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oMX4SAEKjL0/VnY-mSPJAKI/AAAAAAAINbs/6Sat9yN0u10/s640/88b9a5e9-2bd0-455b-9776-6e6a62081bc3.jpg)
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
CloudsFM25 Jul
WANAODAIWA KULISHAMBULIA GARI LA MAGEREZA KWA RISASI WAPANDISHWA KIZIMBANI
Watu wawili wanaotuhumiwa kuhusika na tukio la kushambulia gari la magereza kwa risasi, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni wakikabiliwa na mashitaka matatu.
Watuhumiwa hao, Peter Mushi (36) dereva na Godlisten Mongi (40) ambaye hati ya mashitaka imemtambulisha kwamba ni mhandisi, walipandishwa kizimbani jana kwa mashitaka ya kula njama, unyang’anyi wa kutumia silaha na shambulio la kudhuru mwili.
Wakili wa Serikali, Matarasa Alungo alidai mbele ya Hakimu Anipha...