Gari lapasuka tairi, laua 3
WATU watatu wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi na kisha kugonga daraja na kupinduka katika kijiji cha Ng’ombe wilayani Misungwi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo23 Aug
Basi la Kisbo lapasuka tairi na kuua 2
WATU wawili wamekufa papo hapo na wengine 52 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Kisbo walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kahama kupasuka tairi ya mbele na kupinduka katika kijiji cha Kambi ya Mkaa, wilayani Ikungi kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma.
11 years ago
Habarileo23 Apr
Gari la Magereza laua mahabusu 4
MAHABUSU wanne waliokuwa wakitokea katika Mahakama ya Mwanzo Kimanzichana, pamoja na askari aliyekuwa akiwasindikiza, wamekufa papo hapo baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likitembea.
10 years ago
Habarileo03 Oct
Gari laua watu 3 Mtwara
WATU watatu wamekufa na 12 wamejeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi la mbele na kuacha njia na kugonga mti.
10 years ago
Habarileo17 Aug
Gari lenye maiti 10 laua ‘bodaboda’, abiria
DEREVA wa bodaboda na abiria wake wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari lililobeba maiti 10 zilizotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Gari maalumu la JWTZ laparamia nyumba, laua
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Bunge lapasuka
MGAWINYIKO wa wajumbe wa Bunge la Katiba umeanza kupoteza matumaini ya Watanzania kupata katiba mpya. Misimamo ya vyama, makundi vimeanza kujenga hofu kwa wajumbe katika upigaji wa kura za maamuzi...
11 years ago
GPLABIRIA AAMUA KUBADILI TAIRI LA BAJAJI MWENYEWE
11 years ago
Habarileo02 Apr
TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali
UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.