Basi la Kisbo lapasuka tairi na kuua 2
WATU wawili wamekufa papo hapo na wengine 52 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Kisbo walilokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kahama kupasuka tairi ya mbele na kupinduka katika kijiji cha Kambi ya Mkaa, wilayani Ikungi kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Mar
Gari lapasuka tairi, laua 3
WATU watatu wamekufa na wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria, kupasuka tairi na kisha kugonga daraja na kupinduka katika kijiji cha Ng’ombe wilayani Misungwi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCKtegrH-EYWjN2pDqP-S0BGgRa1teMlQeoJtzq9cgS9tnwovBe5DtWMQ3WrOWzCS1Uq*7doVk8ELQ2S0FcpFgiz/IMG20140816WA0020.jpg?width=650)
CHUPUCHUPU BASI KUUA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/st-pA-4csCGQ4-t4jx12MikAxzFvyvUW-zC35WxKpbGhYiXhPqU4H5di0w8j4TwMDjoHYFJKlkEAnto0riRQW1TncFQ-7kLz/5ajali5.jpg)
BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Dereva basi la Muro mbaroni kwa kuua
JESHI la Polisi mkoani Iringa linamshikilia dereva wa basi la Prince Muro, Said Mtatifikolo kwa tuhuma za kumuua mtembea kwa miguu baada ya kumgonga. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BASI LA MTEI LATEKETEZWA KWA MOTO BAADA YA KUGONGA NA KUUA SINGIDA
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Bunge lapasuka
MGAWINYIKO wa wajumbe wa Bunge la Katiba umeanza kupoteza matumaini ya Watanzania kupata katiba mpya. Misimamo ya vyama, makundi vimeanza kujenga hofu kwa wajumbe katika upigaji wa kura za maamuzi...
11 years ago
GPLABIRIA AAMUA KUBADILI TAIRI LA BAJAJI MWENYEWE
11 years ago
Habarileo02 Apr
TBS: Magari mitumba, tairi chakavu chanzo cha ajali
UNUNUZI wa magari nje ya nchi yaliyokaa muda mrefu kisha kuyatumia nchini, unadaiwa kuchangia ajali nyingi barabarani, kutokana na baadhi tairi kuisha muda wa matumizi.
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...