Gavana wa Nairobi atimuliwa ofisini
Gavana wa mji mkuu wa Kenya, Nairobi, Evans Kidero ametimuliwa mamlakani na mahakama ya rufaa ikisema kuwa hakuchaguliwa kihalali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Gavana wa benki Nigeria atimuliwa
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
William Ruto: Naibu rais wa Kenya akiri 'walaghai' walikutana ofisini mwake jumba la Harambee House jijini Nairobi
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Mourinho atimuliwa Chelsea
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YYvG9WhVTJmIGHwE738H0-LBhkHw6Vwu-Lurk56eC02FxR*9r2g2R*bK3pJPRtxmEvDcnngfTtA2Cz2BDmVbsT/GDSTG.jpg?width=650)
MASOGANGE ATIMULIWA SAUZ!
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...
10 years ago
Mtanzania09 Jan
Kaseja atimuliwa Yanga
JUDITH PETER NA SAADA AKIDA
KLABU ya soka ya Yanga, imevunja mkataba wake na kipa, Juma Kaseja, kwa kushindwa kufuata kanuni na masharti yaliyowekwa na uongozi wa klabu hiyo, kuchelewa kuripoti kambini kwa saa 48 na kutohudhuria mazoezi.
Yanga ilitoa tahadhari kuwa mchezaji yeyote ambaye atashindwa kuripoti kambini ndani ya saa 48 na kukosa mazoezi bila ruhusa maalumu ya kocha, atakuwa amevunja mkataba wake na kujifukuzisha kazi.
Kaseja amekuwa mchezaji wa kwanza wa Yanga kukumbwa na adhabu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIE0ojxYKW08mnK318F4vFKAj1LmgtdjyahFP5uNMC*DJGF7IUq7XemHGkJyHJdvFfAUt8UsIxc5FWpz*k4uKOD/sherwoodcmmain.jpg?width=650)
KOCHA WA SPURS ATIMULIWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXqP2ZCFaHRAN2n58FRVDZuL1BxSgyGRHf8iX78CgPujUPCTyWdPfneFSk21HJWglOFBPk6rftVanb6X7WD7BiHL/BRANDS.jpg?width=650)
Brandts atimuliwa Yanga
11 years ago
Mwananchi29 Jun
Waziri atimuliwa Ghana