Gazeti la Financia Report la nchini Uingereza kuitangaza Zanzibar Kimataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-5WlnDpJ9nDY/UvNqbIsP7AI/AAAAAAAFLJQ/VwwOIMaFFWY/s72-c/unnamed+(48).jpg)
Mhariri muandamizi wa Gazeti la Financia Report lenye Makao Makuu yake London Nchini Uingereza Bwana Rohit Devan akimuarifu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi azma ya Gazeti hilo ya kutaka kuitangaza Zanzibar Kimataifa katika Nyanja ya Utamaduni, Uwezekaji na Utalii.
Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo ya Televisheni cha Afrika { Africa TV } Bwana Muharami Iddiss akimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Cheti maalum cha Africa TV cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziTUMIENI VYOMBO VYA KIMATAIFA KUITANGAZA TANZANIA - WAZIRI MAGHEMBE
“Kama kweli tunataka kupata watalii wengi zaidi pamoja na mambo mengine ni lazima...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-N6WFUQDvW7g/VeNuWL0zffI/AAAAAAAH1FQ/dhAyV90CO-k/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Daktari Bingwa Mshauri maradhi ya Moyo kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Kimataifa nchini Uingereza Leo
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s72-c/AA8A7699.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA KAMPENI MAALUM YA KUITANGAZA TANZANIA NA VIVUTIO VYA UTALII KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0e-5euk5OHA/VewZa4bhrEI/AAAAAAAAyrE/-MtEJ7NT_uM/s640/AA8A7699.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wczjejfcnk0/VewZbbmU6EI/AAAAAAAAyrI/eSdS9IMBtWQ/s640/AA8A7720.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Pinda ateta na wawekezaji nchini Poland wenye nia ya kujenga hoteli ya kimataifa Zanzibar
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiandika maelezo muhimu wakati akimsikiliza Mkurugenzi wa kampuni ya Katanja-Neoval Oil, Bw. NICODEMO SWIACKI (kushoto) akiwasilisha mada kuhusu kampuni yao ambayo inataka kuwekeza Tanzania kwenye kiwanda cha kusafisha dhahabu (gold refinery) na ujenzi wa hoteli ya kimataifa huko Zanzibar. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. Mahadhi Juma Maalim na Naibu Waziri wa Fedha, Bw. Mwigulu Nchemba. (Picha na Irene Bwire wa OWM).
9 years ago
Michuzi05 Sep
KATIBU MKUU OFISI YA RAISI ZANZIBAR, MHE. SALUM MAULID AFUNGA MKUTANO WA TANZANIA DIASPORA BUSINESS CONVENTION 2015 NCHINI UINGEREZA
9 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NCHINI KUTEMBEA WAGENI WA KIMATAIFA MAKUMBUSHO YA TAIFA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s72-c/261.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar akutana na ujumbe Taasisi ya Ushauri wa Uhandisi katika miundombinu ya ujenzi, usarifu wa Miji, Majengo ya Kisasa pamoja na Vituo vya Kimataifa vya Biashara { ECG } ya Nchini Misri
![](http://3.bp.blogspot.com/-eHEEyJfOV6g/VbyZNXUN7YI/AAAAAAAHs_c/Fr4Gyt13Zuo/s640/261.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MfGNEyT6AMc/VbyZNb28knI/AAAAAAAHs_Y/hYsB-nlBxRU/s640/267.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Apr
10 years ago
Habarileo15 Aug
Gazeti laagizwa kukanusha ebola imeingia nchini
SERIKALI imetaka gazeti la Sani kukanusha habari iliyoandikwa ukurasa wa kwanza kwamba, ugonjwa wa ebola umeingia nchini. Imeagiza hilo lifanyike haraka vinginevyo, hatua kali zitachukuliwa ikiwemo kufungia gazeti hilo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10