GESI YA BAGAMOYO ITALINUFAISHA TAIFA-MAGUFULI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_UrvcVNpXHM/Vhe1mBeuROI/AAAAAAADAjE/gFWD9Yt782Q/s72-c/_MG_4949.jpg)
Umati wa wakazi wa mji wa Bagamoyo mkoa wa Pwani wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa shule ya Msingi majengo wilayani Bagamoyo wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (hayupo pichani) alipokuwa akijinadi mbele yao kwenye mkutano wa kampeni na kuomba kura za kutosha ili awe Rais wa Tanzania katika awamu ya tano.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake ndani ya mkowa wa Kilimanjaro na leo ameanza mkoa wa Pwani,wilayani Bagamo ambapo anatarajia kuendelea na kampeni zake mkoani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NSpZX6Gtp60/Vhf3T0uFMjI/AAAAAAADAnA/dUvcSp7q1Xk/s72-c/_MG_4992.jpg)
MAGUFULI - GESI YA BAGAMOYO ITALINUFAISHA TAIFA
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSpZX6Gtp60/Vhf3T0uFMjI/AAAAAAADAnA/dUvcSp7q1Xk/s640/_MG_4992.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_UrvcVNpXHM/Vhe1mBeuROI/AAAAAAADAjE/gFWD9Yt782Q/s640/_MG_4949.jpg)
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Gesi ya Bagamoyo italinufaisha taifa — Magufuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-_UrvcVNpXHM/Vhe1mBeuROI/AAAAAAADAjE/gFWD9Yt782Q/s640/_MG_4949.jpg)
Umati wa wakazi wa mji wa Bagamoyo mkoa wa Pwani wakiwa wamekusanyika kwenye uwanja wa shule ya Msingi majengo wilayani Bagamoyo wakimsikiliza Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli (hayupo pichani) alipokuwa akijinadi mbele yao kwenye mkutano wa kampeni na kuomba kura za kutosha ili awe Rais wa Tanzania katika awamu ya tano.Dkt Magufuli amemaliza kampeni zake ndani ya mkowa wa Kilimanjaro na leo ameanza mkoa wa Pwani,wilayani Bagamo ambapo anatarajia kuendelea na kampeni zake mkoani...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
11 years ago
MichuziTPDC YAENDESHA SEMINA KWA WANAHABARI KUHUSU UCHIMBAJI WA GESI NA MAFUTA KATIKA HOTELI YA OCEANIC BAY $ RESORT, BAGAMOYO LEO
11 years ago
Uhuru Newspaper01 Jul
Serikali yatakiwa kusimamia gesi kwa maendeleo ya taifa
NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imeshauriwa kuwekeza mapato ya rasilimali zake hususan mafuta na gesi ili kuleta maendeleo endelevu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.
Vile vile imetakiwa kuhaikisha matumizi ya ndani kwenda sambamba na mapato hayo ikiwemo kuongeza tija katika matumizi ya sekta za umma katika ngazi zote.
Mkurugenzi wa kampuni ya Pan African Energy, Patrick Rutabanzibwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana kwenye mkutano wa kujadili mikakati ya kuhakikisha rasilimali...
9 years ago
Raia Mwema11 Nov
Magufuli ni nguvu ya soda au moto wa gesi?
WIKI iliyopita imekwisha kwa mambo mengi na sijui hadi leo hii mangapi mengine yamefanyika tangu
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA KUPOKEA MAONI JUU YA SERA YA TAIFA YA MAGEREZA WAMALIZIKA WILAYANI BAGAMOYO
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja amepongezwa na Wadau mbalimbali nchini kwa kufanikisha kuandaa na kukamilisha rasimu ya Sera ya Taifa ya Magereza ambapo Wadau kutoka nje ya Jeshi la Magereza wamepata fursa ya kujadili kwa siku mbili Wilayani Bagamoyo, Mkoani Pwani.
Pongezi hizo wamezitoa kwa nyakati tofauti mjini Bagamoyo katika Mkutano wa siku mbili wa Wadau wa kupokea maoni juu ya rasimu ya Sera ya Taifa ya Magereza uliofunguliwa rasmi na...
10 years ago
GPLKIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAPOKELEWA NA WAZIRI MAGUFULI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NkDv5SvkbPM/VBbSFN3DKFI/AAAAAAAGjvQ/nyXKdEzfir0/s72-c/581.jpg)
Balozi Idd mgeni rasmi kwenye Tamasha la Kuliombea Taifa na Kuhamasisha amani linalofanyika mjini Bagamoyo
Alisema kazi kubwa inayotakiwa kufanywa na Viongozi hao wa Kidini ni kuwaombea watu wakiwemo Viongozi wa Nchi ili Baraka ziongezeke ndani ya Taifa pamojana umma jambo ambalo litasaidia kupunguza misuguano.
Balozi Seif alisema hayo wakati akilifungua Tamasha la...