Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana yaahirisha jaribio la chanjo ya Ebola

Serikali ya Ghana imeahirisha jaribio la chanjo ya ebola inayotarajiwa kujaribiwa ka jimbo la Volta kufuatia hofu kutoka kwa wakaazi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Jaribio la kwanza la chanjo dhidi ya virusi vya corona laanza Ulaya

Chanjo hii imetetengenezwa katika Chuo Kikuu cha Oxford, kuna matumaini ya kufanikiwa kwa chanjo hii?

 

10 years ago

GPL

WANAJESHI WA JARIBIO LA JARIBIO LA MAPINDUZI-BURUNDI WALIVYOKAMATWA

Baadhi ya wanajeshi walioasi na kufanya jaribio la mapinduzi dhidi ya serikali ya Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, walivyokamatwa nchini humo, wakati kiongozi wao akiendelea kusakwa na wanajeshi watiifu wa serikali ya Nkurunzinza. CREDIT: BBC SWAHILI

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Chanjo yaleta matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola, na kusema dawa zinaonesha kuwa salama na itasaidia mfumo wa kinga ya mwili kuvitambua virusi hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yaonesha matumaini

Wanasayansi wamepongeza matokeo ya majaribio ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Majaribio ya chanjo ya ebola kuanza

Majaribio makubwa ya chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola, yanapangiwa kuanza hatimaye nchini Liberia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola yatolewa Mali

Kundi la wafanyakazi wa afya nchini Mali leo wanapewa chanjo ya majaribio dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo ya Ebola kujaribiwa Guinea

WHO pamoja na wadau wake, mwishoni mwa wiki hii wanatarajia kuanza majaribio ya ufanisi wa chanjo dhidi ya Ebola nchini Guinea.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo dhidi ya Ebola yatolewa

Wanasayansi kutoka Chuo kikuu cha Oxford wameaza kutoa chanjo dhidi ya Ebola kwa binaadamu kwa mara ya kwanza

 

10 years ago

BBCSwahili

Chanjo dhidi ya Ebola ? WHO yafurahia

Shirika la afya duniani WHO, limesifia matokeo ya chanjo mpya ugonjwa wa Ebola, ambayo inatoa asilimia 100% ya kinga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani