Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gharama upimaji sampuli za dhahabu zapungua

WAKALA wa Jiolojia Tanzania (GST), umefanikiwa kupunguza gharama za upimaji wa sampuli za dhahabu katika maabara yake baada ya kufanikiwa kwa asilimia 100 kuweza kutengeneza vikombe vya kupimia sampuli ndani ya maabara iliyoko mkoani Dodoma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Teknolojia ya upimaji dhahabu inayozuia utapeli

Kwa miaka kadhaa baadhi ya Watanzania wamekuwa wakitapeliwa kwa kuuziwa bidhaa bandia za dhahabu au zilizo chini ya kiwango.

 

11 years ago

Michuzi

BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU

Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katika)  akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo  ambayo itamuwezesha  mtanzania yeyote kuweza kupimamacho na kupewa miwani kwa gharama nafuu, (wapili kulia ) ni Rasi wa Chama cha wataalamu wa macho nchini (TOA) Frank Magupa  (wapili  kushoto) ni Ofisa Mkazi wa Shirika  la   Brien Holden  Vision Institute  hapa nchini Eden Mashayo, wakwanza kushoto ni mratibu wa mradi huo Rebecca...

 

11 years ago

GPL

BRIEN HOLDEN YAZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU‏

Mwakilishi wa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Fulgens Lisakatu (katikati) akiakata utepe kuashiria uzinduzi wa miwani ya Kibo ambayo itamuwezesha Mtanzania yeyote kuweza kupima macho na kupewa miwani kwa gharama nafuu, (wa pili kulia ) ni Rasi wa Chama cha wataalamu wa macho nchini (TOA), Frank Magupa  (wa pili  kushoto) ni Ofisa Mkazi wa Shirika la Brien Holden Vision Institute  hapa nchini Eden...

 

11 years ago

GPL

TAASISI YA BRIEN HOLDEN KUZINDUA HUDUMA YA UPIMAJI MACHO NA UTOAJI MIWANI KWA GHARAMA NAFUU‏

Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhisina na uzinduzi wa upimaji macho utakao fanyika Dar es Slaam free market mkabala na kituo cha DSTV, Kinondoni jijini Dr es Salaam. Kushoto ni Mratibu mradi huo Violet Shirima.  Ofisa Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akionesha miwani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali za barabarani zapungua 2013

IDADI ya ajali za barabarani na vifo, imepungua kutoka watu 157 mwaka 2012 hadi watu 123 mwaka jana mkoani hapa. Kwa mujibu wa takwimu za Jeshi la Polisi Mkoa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Shughuli za ukataji miti Amazon zapungua

Serikali ya Brazil inasema shughuli za ukataji miti katika msitu mkubwa wa Amazon, zimepungua kwa asilimia 18 mwaka uliopita.

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI ZA BARABARANI ZAPUNGUA-KAMANDA MPINGA‏

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga(kulia)akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na maswala ya usalama barabarani,anaeshuhudia kushoto Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia.

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea na simu au kutuma na kupokea ujumbe wa maneno (SMS) wanapokuwa...

 

10 years ago

GPL

AJALI ZA BARABARANI ZAPUNGUA-KAMANDA MPINGA‏

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga(kulia)akiongea na waandishi wa habari hivi karibuni kuhusiana na maswala ya usalama barabarani,anaeshuhudia kushoto Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Rosalynn Mworia. Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamanda Mohammed Mpinga amesema katika mahojiano maalum kuwa madereva wameanza kuelewa kuwa tabia ya kuongea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani