GLOBAL TV ONLINE: WANDISHI WA HABARI WAASA KUTUMIA KALAMU ZAO VIZURI
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WoArJpCAuHk/XlzFNaBUSCI/AAAAAAALgUA/pteGE-nzlfMTC7Lq_41by8XwkjTZt_wSACLcBGAsYHQ/s72-c/_R5A0227.jpg)
WANAHABARI WASHAURIWA KUTUMIA VYEMA KALAMU ZAO KATIKA USTAWI WA TAIFA NA KUWA WAZALENDO
WAANDISHI wa habari nchini wameshauriwa kuwa wazalendo kwa taifa kwa kutumia vyema kalamu zao, midomo yao na vyombo vyao vya habari kwa kuhabarisha umma vyema bila kuharibu uelekeo wa ustawi wa taifa.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha wakati akifungua semina kwa wanahabari kuhusiana na habari za Uchumi na Fedha Mkurugenzi wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) tawi la Arusha Charles Yamo amesema kuwa umuhimu wa vyombo vya habari katika ujenzi wa taifa ni mkubwa sana hivyo ni...
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Arusha wakati akifungua semina kwa wanahabari kuhusiana na habari za Uchumi na Fedha Mkurugenzi wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) tawi la Arusha Charles Yamo amesema kuwa umuhimu wa vyombo vya habari katika ujenzi wa taifa ni mkubwa sana hivyo ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PguvS0TgIPY/XvXrLfqS5CI/AAAAAAALvio/jcfCWgcxwA0USMWqPO2yxWYPrsOJgXUuwCLcBGAsYHQ/s72-c/SABUNI%2B1.jpeg)
WANAWAKE WAJASIRIAMALI VISIWANI PEMBA WASHAURIWA KUTUMIA VIZURI NEEMA YA ZAO LA KARAFUU ILI KUZALISHA BIDHAA
Na Muhammed Khamis-TAMWA-Zanzibar
MKURUGENZI wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake( TAMWA- Zanzibar) Dkt.Mzuri Issa amewashauri wanawake wajasiriamali kisiwani Pemba kutumia vizuri neema ya zao la Karafuu kisiwani humo kwa kuzalisha bidhaa mbali mbali.
Dkt Mzuri aliyasema hayo leo Juni 27,2020 wakati alipokua akitizama baadhi ya bidhaa
zinazozalishwa na wajasirimaali hao kutoka Pemba huko ofisini kwake
Tunguu Wilaya ya kati Unguja.
Amesema zao la karafuu linaweza kuzalisha bidhaa mbali...
11 years ago
GPL10 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5rOKh5yrOt1BV4kloF8R*mqtgSW4Io2qe4qR73*lcT53Wrrw3m1v0ycY*3t1nQY--BR*k*SvVizKw3w5VjXYYQVq8dqUQtB8/GLOBAL2.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo14 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/D*jRkBJZGXXW4h*Br*kb04ZdnfExL8Ni80snycpNRrOhswqoAXKMaucKifeeWESIUjZxuKeg2znue*DSZvjbBEp6xlVyN2g3/GLOBALtv.jpg?width=750)
ANGALIA GLOBAL TV ONLINE KWA HABARI ZA BURUDANI, SIASA, MASTAA NA MUZIKI
BONYEZA HAPA ===>GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Wandishi habari 9 wakamatwa Ethiopia
Kamati ya kutetea haki za waandishi habari imelaani vikali kitendo cha serikali ya Ethiopia cha kuwakamata waandishi habari 9
10 years ago
VijimamboWANDISHI WA HABARI MBEYA WAPATIWA MAFUNZO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10