Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GOSOEL DANCING: Tukicheza Kama Disco inasaidia kuvuna Mioyo?

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

This Dancing 3 Year Old Is So Amazing dancing on the stage!!

COclppUWgAA3BJg This little boys performance with his baby is so cute, and sweet. The judges cannot resist him and even kiss him. You will watch in awe as he brings the audience to their feet in suspense and cheering at his dance abilities.

The reason why he dances will bring a tear to your eye, and put life in perspective (time 7:25), this video is a MUST SEE!

“My dream is to make people happy.”

– See more at:...

 

11 years ago

Mwananchi

Tobo: Operesheni mpya inasaidia kupunguza ukubwa wa kidonda

>Operesheni mpya inayotumia njia ya kutoboa badala ya kupasua sasa umeanza kuzoeleka katika hospitali kubwa tatu nchini.

 

11 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel: Filamu hazilipi.Sapoti ya waume au wapenzi ndio inasaidia.

STAA wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel, amesema mafanikio ya wasanii wengi wa kike hayatokani na mauzo ya kazi hiyo bali sapoti ya waume au wapenzi wao kwa kuwa soko la filamu limeharibika.

“Filamu kwa Tanzania hakuna soko, walau wanaume, si wanawake, huwezi kunilinganisha mimi na Ray… Mimi kama si kuwa mwanamke, sidhani kama leo hii bado ningekuwepo katika filamu, kwa sababu kwa kiasi kikubwa nategemea sapoti ya wadau wangu, si mauzo ya filamu,” alisema.

Aunt alisema tatizo jingine katika...

 

11 years ago

GPL

NANI ATABADILI MIOYO YETU?

NIMSHUKURU sana Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kukutana tena leo, wakati mamia ya ndugu zetu wakiwa mahospitalini wakishindana na vifo, lakini sisi tu wazima. Kama ninavyosisitiza wakati wote, hatuko hivi tulivyo kwa sababu ya ujanja wetu, bali uhai na uzima wetu upo mikononi mwake yeye aliye juu. Kuna baadhi ya vitu vinatokea katika jamii yetu ambavyo ni vigumu sana kuamini kama kweli sisi tunaishi hivi kwa sababu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MASTAA HAWA WAMECHEZEA MIOYO YAO!

Wema Sepetu na Diamond. MAPENZI ni kizunguzungu! Msemo huu umetimia kwa baadhi ya mastaa waliokuwa na uhusiano ambao ulivuma kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hawakukauka midomoni mwa watu. Katika uhusiano huo wa kimapenzi wapo ambao walikuwa wanafurahishwa na ‘kapo’ za mastaa hao kutokana na jinsi walivyokuwa wakiendana lakini waliishia kuanguka kwenye dhambi ya uzinzi na wengine kuzaa kisha kuachana solemba,...

 

10 years ago

GPL

MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWAUMIZA MIOYO WAPENDANAO

NiJumatatu nyingine ninapokukaribisha mpenzi msomaji wa kona hii nzuri, mahali tunapoelekezana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Leo napenda tujadiliane kuhusu mada hii kama inavyojieleza hapo juu.Sayansi na teknolojia vinaifanya dunia iende kasi sana, mfumo wa maisha unabadilika haraka kuliko wakati mwingine wowote, dunia sasa inaunganishwa na kuwa kama kijiji kutokana na matumizi ya intaneti na mitandao ya...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI APONGEZWA KUTOA MSAMAHA KWA WAFUNGWA, INASAIDIA KUZUIA MAAMBUKIZI YA CORONA

Na Mbaraka Kambona, Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) amesema uamuzi wa kuwasamehe wafungwa 3973 uliofanywa na Rais Dk. John Magufuli (pichani) ni hatua muhimu katika kudhibiti kusambaa kwa maambukizi  ya  maradhi yanayosababishwa na virusi vya Corona.

Jaji Mwaimu aliyasema hayo leo Mei 7, 2020 Ofisini kwake jijini Dodoma alipokuwa akitoa mtazamo wake juu ya jitihada za Serikali za kudhibiti kuenea kwa maradhi hatari ya Korona. 

Alieleza   kuwa msamaha huo ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani