NANI ATABADILI MIOYO YETU?
![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcK5cVNtYqH3d0iIRiMUqNQJOLe0DrmY2QSjPPH*WXA3Pf2V2dl5epCn-tD3WBrJXTxONbMva*o1LAmQefvpAy4f/NANI.jpg?width=650)
NIMSHUKURU sana Mungu, mwingi wa rehema kwa kutuwezesha kukutana tena leo, wakati mamia ya ndugu zetu wakiwa mahospitalini wakishindana na vifo, lakini sisi tu wazima. Kama ninavyosisitiza wakati wote, hatuko hivi tulivyo kwa sababu ya ujanja wetu, bali uhai na uzima wetu upo mikononi mwake yeye aliye juu. Kuna baadhi ya vitu vinatokea katika jamii yetu ambavyo ni vigumu sana kuamini kama kweli sisi tunaishi hivi kwa sababu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Dec
RUSHWA NI TATIZO SUGU KATIKA NCHI YETU, NANI ATAWEZA KUIONDOA?
![](http://api.ning.com/files/4YilfwQJfCsmQvIlIFx5OUAnQ3wzo1oArM7WqN9FHalt3GxKKRDo9kEQ5hzcCRrEu9xcbs0XUZueJHrrA6x-uydcmq6qH7ll/RUSHWAPICHANA1.jpg?width=650)
KATIKA kumuenzi Mungu, kila mtu ambaye leo afya yake ni nzuri hana budi kumshukuru na kumtukuza huku akimuomba awaponye wale wote walio katika magonjwa.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema kuwa katika kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi, baadhi ya matawi wanachama wake wamelalamikia rushwa kwamba waliwapigia kura watu waliokuwa wanapenda kuwaongoza lakini kura zao zikachakachuliwa.
Nilisimuliwa kuhusu tawi moja eti waliochaguliwa waliiba kura na matokeo yakatajwa...
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Rasimu ya Katiba inataja Tunu za Taifa: Ni nani kati yetu anayezijua!
9 years ago
MichuziWATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgZ*nCqxI-9ounWrrenPTtZVakbIbdNIMmYWBLSNtDqMjcwqyMegsA8BD*Mm-mI4jvCMqiE6ktqfqZw5XOd7ShZu/MAHABA.jpg?width=650)
MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWAUMIZA MIOYO WAPENDANAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ec4fSw8DDIyGFcvcctsE-X4O22p7cbhszCzLJKX9fZ8jkKbAOW*bvKe7VkaZzh7TFj0zN76Kl4RxQGHUYTR-MpnijJRAMenq/wemanadiamond.jpg?width=650)
MASTAA HAWA WAMECHEZEA MIOYO YAO!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/etxHOdxRW1A/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/05/32.jpg)
TAMASHA LA PASAKA LAKONGA MIOYO YA MASHABIKI MJINI SHINYANGA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nBZmhirkI6s/VQTnsPyaKhI/AAAAAAAAs6Q/2AaEMl0WNbI/s72-c/IMG_7608.jpg)
YAMOTO BAND WAKONGA MIOYO YA MASHABI WAO WA TABATA NA VITONGOJI VYAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-nBZmhirkI6s/VQTnsPyaKhI/AAAAAAAAs6Q/2AaEMl0WNbI/s640/IMG_7608.jpg)
Hizi ni Picha za Show Nzima iliyofanyika jana Tabata.PICHA ZOTE NA www.harakatizabongo.com
![](http://3.bp.blogspot.com/-XUrNvFvzf38/VQTnmRW3kpI/AAAAAAAAs5Q/UmSzVK1hYOM/s640/IMG_7477.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ug2Nlruip6k/VQTnmunJpZI/AAAAAAAAs5Y/QAGDWa5ASyY/s640/IMG_7480.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ohUFbjy9GiI/VQTnmmtl-YI/AAAAAAAAs5U/jp9C2zen4qk/s640/IMG_7505.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ta7Xmpd5lVw/VQTnocAXoCI/AAAAAAAAs5o/Ehjb0QkMAx8/s640/IMG_7513.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Oct
Msajili wa Vyama vya Siasa: Mrisho Mpoto na Christina Shusho kuwa mabalozi wa kubeba ujumbe wetu wa amani wa “AMANI YETU FAHARI YETU”
Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi (katikati) akizungumza na vyombo vya habari mapema leo Oktoba 12 juu ya kuhamasisha Amani pamoja na kuwatangaza rasmi wasanii Mrisho Mpoto (kulia) na Christine Shusho (kushoto) kuwa mabalozi wa amani wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa katika kipindi hiki cha Uchaguzi mkuu, huku wakibeba ujumbe wa “AMANI YETU FAHARI YETU”. (Picha zote na Andrew Chale wa Modewjiblog).
Picha tatu za Jaji Mutungi zikionyesha msisitizo wa suala la Amani...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10