Gumba: Shule ya msingi iliyoonja ufalme na kurudi utumwani
Ilipoongoza kitaaluma wilayani kwake kwa mara ya kwanza, ndipo ilipokuwa mara ya mwisho kuonja kiti hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
FLAVIANA MATATA FOUNDATION YATOA VIFAA VYA SHULE SHULE YA MSINGI MSINUNE
10 years ago
Vijimambo02 Aug
Wahitimu Shule ya Msingi Muhimbili Waisaidia Shule Yao
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
9 years ago
Bongo522 Dec
Q Chief na MB Dog kurudi shule
Meneja na mwezeshaji wa Q Chief na MB Dog, QS J Mhonda anatarajia kuwarudisha darasani wasanii hao.
Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Television, Mhonda alisema hatua hiyo itawasaidia wasanii hao kuweza kujitegemea nje ya muziki.
“Nataka kuwapeleka katika fani mbalimbali kama ujenzi, uchoraji na fani nyingine. Q Chief na MB Dog nao wataenda kujifunza ili waweze kufanya issue nyingine nje ya muziki,” alisema Muhonda.
QS J Mhonda Entertainment ni moja ya kampuni kubwa za muziki nchini...
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
DC ataka waliokatishwa masomo kurudi shule
SERIKALI wilayani Nzega, Tabora imewaagiza viongozi wa Idara ya Elimu kuwarudisha madarasani watoto waliokatizwa masomo kwa sababu mbalimbali. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya (DC) ya Nzega, Bituni Msangi alipozungumza...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Elimu ndiyo kila kitu, tusiogope kurudi shule
9 years ago
StarTV25 Nov
Shule ya Msingi Bafanka mkoani Geita hatarini kufungwa kwa Kujaa Kwa Vyoo Vya Shule
Ukosefu wa Vyoo kwa baadhi ya Shule limekuwa tatizo sugu lililosababisha shule ya msingi Isumabuna kufunga wakati shule ya msingi Bafanka wilayani Bukombe mkoani Geita ikiwa hatarini kufungwa wakati wowote kutokana na vyoo kujaa na kutoa wadudu hali inayowalazimu wanafunzi kujisaidia vichakani.
Kufungwa kwa shule ya Msingi Isumabuma tangu Novemba 12 mwaka huu kulikolenga kunusuru afya za watoto na kuwaepusha ma magonjwa ya mlipuko kumeathiri ratiba ya masomo kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi...