Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HABARI NDIYO HIYO

Watu pipooo mambo ya Mchina yayo jiongeze kiroho safi.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YASHIKWA SHARUBU NA STAND UNITED TAIFA HABARI NDIYO HIYO KWA WALE WANAZI WA MSIMBAZI HII INAWABAMBAJE.

Kiungo wa Simba SC, Shaban Kisiga (kushoto) akimtoka beki wa Stand United, Reyna Mgungira.SIMBA SC  Inaendelea kuchechemea licha ya majigambo mengi ya kuwa na kikosi bora msimu huu lakini mambo ni magumu dagaa kammeza paka  ndiyo kilichotokea na Stand United ya Shinyanga Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Hadi mapumziko, tayari timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Simba SC wakitangulia kupitia kwa Shaban Kisiga dakika ya 35 kabla ya Stand United kusawazisha dakika 10 baadaye.
Wafungaji ...

 

10 years ago

Vijimambo

SHILINGI YA TANZANIA NDIYO HIYO CHALI

Shilingi ya Tanzania yashuka thamani
Thamani ya shilingi ya Tanzania imeelezwa kuanguka kwa kiasi cha asilimia 7.9, hali ambayo imeelezwa kuchangiwa na sababu za kiuchumi za ndani na nje ya nchi.

Halima Nyanza anaangazia sababu zilizosababisha kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIA WAMSHAMBULIA TRAFFIC WA UBUNGO KWA KUSABABISHA AJALI HIYO NDIYO BONGO


Wananchi waliokuwepo eneo la Ubungo leo mchana wamemshambulia askari wa usalama barabarani kwa kile walichodai kuwa amesababisha ajali. Watu hao walianza kumshambulia askari huyo huku wakimtwanga mangumi na kumchania sare yake ya kazi kama anavyoonekana pichani.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

HABARI NDIYO HII HUKO CHINA



Kijàna wa kichina amekamatwa akijaribu kuvusha cm latest zaidi ya 90 iPhone 6 Alizibandika mwilini mwake. Walimgundua alikua anashindwa kutembea vizuriAmekamatiwa Futian port Imigration point btwn China and Hongkong.

 

10 years ago

GPL

GAZETI LA IJUMAA NDIYO HABARI YA MJINI !

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakiwa wanasoma gazeti la Ijumaa huku wakiwa wamevalia T-Shirt zinazolitangaza gazeti hilo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global wakiwa wamependeza ndani ya t-shirt zenye chata la Ijumaa.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani…

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMKE ATTITUDE HABARI NDIYO HII

Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’ imewakuna watu wengi na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana. 
Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.
Kiukweli kabisa kijana huyu ni moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani