Habari njema: Michango ya wasamaria wema yafanikisha Dada Joyce wa Mbeya kuwasili Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema,
Tunapenda kutumia fursa hii kuwapa updates kuhusu dada Joyce Mwambepo, mkaazi wa Sinde jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 27 ambaye anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambalo dereva wake hakusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya ambako inasemekana alikaa kwa miezi mitatu bila...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Habari njema: Michango ya wasamaria wema yafanikisha Dada Joyce wa Mbeya kuwasili Muhimbili kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema,
Tunapenda kutumia fursa hii kuwapa updates kuhusu dada Joyce Mwambepo, mkaazi wa Sinde jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 27 ambaye anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambalo dereva wake hakusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya ambako inasemekana alikaa kwa miezi mitatu bila...
9 years ago
Dewji Blog09 Dec
Habari njema: Malipo ya vipimo vya MRI yafanyika kutokana na michango ya wasamaria wema yaliyofanikisha Dada Joyce wa Mbeya kufikishwa Muhimbili kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema,
UPDTAES ZA LEO
Kwa kutumia michango ya wasamaria wema, leo tayari Ankal ameshalipia malipo kwa ajili ya vipimo vya MRI kwa dada Joyce yanayotarajiwa kufanyika Alhamisi hii ama Ijumaa. Baada ya matokeo ya vipimo vyake jopo la madaktari bingwa bingwa litakaa nakuamua nini cha kufanya kumsaidia dada Joyce. Hivyo tuendelee kumsaidia kwa hali na mali pamoja na dua.
Kama umeguswa na unataka kutoa msaada unaweza kuwasiliana na Ankal kwa email
issamichuzi@gmail.com ama...
9 years ago
CCM BlogMICHANGO YA WASAMARIA WEMA YAFANIKISHA JOYCE WA MBEYA KUWASILI MUHIMBILI KUTIBIWA
Tunapenda kutumia fursa hii kuwapa updates kuhusu dada Joyce Mwambepo, mkaazi wa Sinde jijini Mbeya mwenye umri wa miaka 27 ambaye anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.
Kwa bahati mbaya mwezi April mwaka jana dada huyu alipata ajali ya kugongwa na gari ambalo dereva wake hakusimama kumsaidia. Ila kwa msaada wa wasamaria wema alipelekwa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya ambako inasemekana alikaa kwa miezi mitatu bila...
9 years ago
Michuziupdates za dada Joyce Richard Mwambepo wa mbeya aliyelazwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuvunjika miguu ajalini
Dada Joyce alipowasili Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wiki iliyopita
Ndugu Wasamaria Wema,
Tunapenda kutumia fursa hii kuwashirikisha tena habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Rishard Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye wa miaka 4, na miguu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na huyo mwanaye wa miaka 4.Kwa bahati mbaya mwezi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDPix7u_8K0/VlmwyVeBySI/AAAAAAAII1E/x4GqpY_REn8/s72-c/75c70b20-aa79-4a7b-9f65-1c7eb991b9dc.jpg)
dada yetu Joyce aliyepata ajali Mbeya ahamishiwa hospitali, kupelekwa Dar es salaam Alhamisi kwa matibabu
Ndugu Wasamaria wema na wadau,Napenda kutumia fursa hii kukufahamisheni kuwa hatimaye dada yetu Joyce Mwambepo ametoka nyumbani yupo hospitali ya rufaa Mbeya chini ya uangalizi wa Dr. Mboma akifanyiwa mazoezi ya viungo kabla ya kuelekea hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa vipimo na matibabu. Baada ya michango mbalimbali ambayo wasamaria wema wamekuwa wakichangia toka ndani na nje ya nchi, hatimaye Dada Joyce na mimi tutasafiri pamoja Alhamisi ijayo...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Msaada wa wasamaria wema wa matibabu unahitajika kwa dada huyu
![](http://2.bp.blogspot.com/-aIxK9GFfgIY/VkosddaDbYI/AAAAAAAIGSI/Oa0qJzpNdRM/s640/22c86c9949965ef8a85ff0688d6eb0e0.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmf9gazYijc/VkosiXb3-HI/AAAAAAAIGSQ/HPWbd_gLJpk/s640/af211d441b4e6718d9223f73fe6e1855.jpg)
Ndugu Wasamaria wema
Napenda kutumia fursa hii kukushirikisha habari ya kusikitisha kuhusu dada Joyce Mwambepo (pichani akiwa na mwanaye, na migu yake iliyopooza) mkaazi wa Sinde jijini Mbeya. Dada huyu mwenye umri wa miaka 27 anaishi na bibi yake mwenye umri wa miaka 80 pamoja na mwanaye mwenye umri wa miaka 4.![](http://3.bp.blogspot.com/-anCSjNjqRuE/Vkoskduw2oI/AAAAAAAIGSY/BxDRsz-3UcE/s400/3388d5f0cc00b03c5a2738f8c17401c3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200429_103939.jpg)
MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5ZBoT6nGaNI/Xqrg-WDMygI/AAAAAAALork/JBXAElBechM02WkQp8uGyjVR__wA9qs9gCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200429_103939.jpg)
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JUST IN: IKULU YAKANUSHA HABARI YA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KUMTEMBELEA MFUNGWA MARANDA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ftf-j8HwaDs/UxyK5qv7L0I/AAAAAAAFSYU/lnM7Z5m8O4E/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-u0OqZkbawWA/UxyK5tWr60I/AAAAAAAFSYQ/RmmSYWG-e88/s1600/unnamed+(9).jpg)