Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna anayewaza ubingwa – Ranieri

2AB2DC0500000578-0-image-a-39_1437405095039

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Leicester City, Claudio Ranieri (pichani) amesema bado hawawezi kubashiri kama wanaweza kuibuka mabingwa wa Ligi Kuu ya Wingereza na hakuna anayewaza hilo ndani ya kikosi chake.

Ranieli ameyasema hayo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ligi ya Uingereza kati ya Leicester City iliyowakaribisha Manchester City ambapo mchezo huo ulimalizika kwa sare ya bila kufunguna kwa timu hizo.

Alisema kuwa ligi ya Wingereza imekuwa haitabiriki unaweza kuwa katika kiwango...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA WA KUIZUIA CHELSEA KUTWAA UBINGWA, LEICESTER YACHEZEA KICHAPO CHA BAO 3-1

Mpira uliopigwa na mshambuliaji wa Leicester ( katikati ) Marc Albrighton ukimpita mlinda mlango wa Chelsea Petr Cech ( kushoto ) na beki wake Gary Cahill na kujaa wavuni kuiandikia Leicester bao la kuongoza. Mshambuliaji nguli wa Chelsea, Didier Drogba akipiga mpira uliokwenda moja kwa moja nyavuni na ukisawazishia timu yake katika dakika ya 48 muda mfupi tu baada ya kipindi cha pili kuanza.Wachezaji wa Chelsea wakiwasalimia mashabiki wao baada kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Leicester...

 

9 years ago

Mwananchi

Kassim Mganga: Gwiji anayewaza kukuza utamaduni wa pwani

Ukiwa msikilizaji mzuri wa muziki, hasa wa kizazi kipya kuna wakati utakubaliana na kauli isemayo katika nyimbo bora zilizotoka mwaka huu ambazo zina mafunzo ambayo mabinti hupenda kuyasikia, hutaacha wimbo uitwao “Subira” wa kijana mdogo kutoka Tanga, Kassim Hemed Mganga.

 

9 years ago

BBC

Vardy and Mahrez priceless - Ranieri

Leicester boss Claudio Ranieri says Jamie Vardy and Riyad Mahrez are not for sale after they inspired a win over Chelsea.

 

9 years ago

Bongo5

Jamie Vardy na kocha wake Claudio Ranieri watwaa tuzo ya EPL

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy pamoaja na Manager wa Leicester City Claudio Ranieri wameshinda tuzo ya kocha bora na mchezaji bora wa mwezi November kwenye ligi ya England (EPL) baada ya kukiongoza kikosi chao kukaa kileleni mwa ligi hiyo.

2F46191400000578-3351138-image-a-25_1449908826461

Vardy baada ya kufunga magoli matatu katika mechi za mwezi Novemba ikiwemo kuvunja rekodi ya magoli wakati kikosi chake kilipotoka sare ya 1-1 na Manchester United.

Vardy-1

Goli lake katika dakika ya 24 dhidi ya Mashetani Wekundu lilimfanya avunje rekodi...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilizindua mkakati wake wa ushindi “Hakuna kulala, hakuna kula mpaka kieleweke” katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba kwa kufungua mafunzo yatakayoendeshwa nchi nzima kwa viongozi wa vyama na Serikali za Mitaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani