Hall alia na kiwango cha Wawa
Stewart Hall.
Na Mwandishi Wetu
WAKATI kikosi cha Azam FC kikimkosa beki wake Aggrey Morris, kocha mkuu wa timu hiyo Stewart Hall, amefunguka kuwa sasa beki wake kisiki Pascal Wawa raia wa Ivory Coast ameshuka kiwango na limebaki jina tu.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Hall raia wa Uingereza alisema licha ya kumkosa Morris lakini kiwango cha Wawa kwa sasa kimeshuka zaidi kutokana na kucheza muda mrefu.
“Kiukweli Wawa kwa sasa hayupo vizuri kama alivyokuwa msimu uliopita kutokana na...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper
Kocha Newcastle alia na kiwango

KOCHA Mkuu wa Newcastle John Carver, amesema amesikitishwa na kiwango kilichoonyeshwa na timu yake katika mchezo wa Ligi Kuu England.Katika mchezo huo, Newcastle ilipokea kipigo cha mabao 2-1, dhidi ya QPR.Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Carver alisema timu ilipoteza mchezo huo baada ya kucheza chini ya kiwango.Carver alisema timu yake ingeweza kushinda lakini safu ya ulinzi ilimuangusha baada ya kukosa umakini na kuruhusu wapinzani wao kupenya na kupata mabao."Timu yangu ilicheza...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KIWANGO CHA NGASSA KIMESHUKA, LAKINI NI MCHEZAJI MWENYE AKILI, LAZIMA ATARUDI KATIKA KIWANGO CHAKE-PLUIJM

Pluijm alikiri wazi kuwa nyota huyo ameshuka kiwango kwa sasa na ndio maana anaanzia benchi katika mechi mbalimbali, lakini anaonesha juhudi kubwa mazoezini kitendo kinachoonesha wazi ametambua alipo sasa.
“Kiwango cha Ngassa kimeshuka, lakini ni mchezaji mwenye akili, lazima atarudi katika kiwango chake”. Alisema Pluijm.Kocha huyo anayependa soka la kushambulia...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Uwanja wa Ndege Songwe wawa kivutio cha watalii
UWANJA wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe, mkoani hapa, umekuwa sehemu ya vivutio vya utalii vinavyopatikana kwenye mikoa ya Kanda za Juu Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari jijini hapa...
10 years ago
Vijimambo18 Jan
Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha
10 years ago
Michuzi
RFB yafanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa JK

Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini(RFB) imefanikiwa kufanya maboresho ya barabara kwa kiwango cha lami katika kipindi cha miaka kumi ya uongozi wa Serikali ya awamu ya nne wa Mhe. Jakaya Kikwete.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam Jana Bw. Joseph Haule amesema kuwa matengenezo hayo yamefanikisha ujenzi wa barabara kuu zinazounganisha mikoa mbalimbali nchini kukamilika kwa asilimia 89 huku zile za Wilaya na Miji kwa asilimia 57.
“ kazi...
11 years ago
BBCSwahili06 Mar
WHO yapunguza kiwango cha sukari
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Sep
Arusha kupandisha kiwango cha ufaulu
HALMASHAURI ya Jiji la Arusha kupitia mpango wa matokeo makubwa (BRN), inatarajia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa mwaka 2014, hadi kufikia asilimia 92 kwa elimu ya msingi.
Takwimu zinaonyesha katika matokeo ya mwaka jana, ufaulu ulikuwa asilimia 85.
Hayo yalisemwa juzi na Ofisa ElimuTaaluma wa Shule za Msingi katika halmashauri ya Jiji hilo, Mbwana Juma, alipokuwa akizungumza wakati wa mafunzo ya mbinu za kufundisha masomo ya hisabati na sayansi.
Alisema kupitia BRN...
11 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Ally Kiba akunwa na kiwango cha AY
MKALI wa muziki wa kizazi kipya, Ally Kiba, amesema kuwa, msanii ambaye anamkubali hapa nchini ni Ambwene Yesaya ‘AY’ huku akiwataka watu wamlinganishe na msanii huyo sio Naseeb Abdul ‘Diamond...
11 years ago
BBCSwahili28 Oct
Djokovic kiwango cha ubora charejea