Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hanang walia gharama za viwanja

WAKAZI wa Hanang mkoa hapa, wamelalamikia ughari wa bei ya viwanja vya makazi na biashara wilayani humo. Ukubwa wa bei hizo za viwanja, umebainishwa mwishoni mwa wiki na baadhi ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

NHC YAPUNGUZA GHARAMA ZA MAUZO YA VIWANJA VYAKE MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limebadilisha viwango vya bei za kuuzia viwanja vyake kwenye mradi wa Safari City mkoani Arusha kwa kutoa punguzo la asilimia 40% kwa viwanja vyote. Hayo yamebainishwa jana na Meneja wa NHC mkoa wa Arusha Ladislaus Bamanyisa wakati akitoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Safari City kwa Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula alipotembelea mradi huo akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya NHC...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana awashukia wawekezaji Hanang’

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana amesema wawekezaji kutoka nje walioshindwa kuyaendeleza mashamba ya ngano ya Bassotu na Wareti, wilayani Hanang mkoani Manyara, watanyanganywa mashamba hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hanang’ wakosa maji safi

WANANCHI zaidi ya 3,000 wa Kijiji cha Hedet, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, kwa zaidi ya miaka miwili sasa hawana huduma ya maji safi na salama kutokana na baadhi yao...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Uteuzi wa Sumaye Hanang gumzo

SHEREHE za kumsimika Waziri Mkuu, mstaafu Fredrick Sumaye, aliyechaguliwa kuwa Kamanda wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Hanang, zimeota mbawa. Sherehe hizo zilizopangwa kufanyika Oktoba 18, zimeahirishwa...

 

9 years ago

TheCitizen

Hanang farmers claim more estates

Villagers in Hanang District, Manyara Region, have made fresh demands, claiming ownership of two more wheat farms out of seven that were once under the defunct National Agricultural and Food Corporation (Nafco).

 

11 years ago

TheCitizen

Hanang’ needs additional 500 workers: report

>Hanang District in Manyara Region is short of 514 public servants, eleven of them in the district commissioner’s office and the rest in the district council, it was revealed here last week.

 

11 years ago

TheCitizen

Shock as child is beaten to death in Hanang

>Shock and disbelief gripped Masusu, a remote village at  Gissambalang’ Ward in Hanang District, Manyara Region, last weekend when a young boy was hacked to death.

 

9 years ago

TheCitizen

Future looks bleak for Hanang livestock farmers

Traditional livestock keepers in Hanang District, Manyara Region, are set to face various challenges due to diminishing grazing  land, a former government administrator has said.

 

10 years ago

Michuzi

MH. MAKALLA AZINDUA MRADI WA MAJI HANANG

Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akizindua rasmi mradi wa maji wa kijiji cha Simbay, Wilaya ya Hanang, mkoani Manyara katika ziara yake aliyoanza mkoa wa Manyara jana, akiwa pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu na Mbunge wa Hanang, Dk. Mary Nagu na Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme.Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla, Mkuu wa Wilaya ya Hanang, Christina Mndeme na Inj. Salum Chusi wa Wizara ya Maji (nyuma) wakiangalia pampu ya maji ya mradi wa Simbay katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani