Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uteuzi wa Sumaye Hanang gumzo

SHEREHE za kumsimika Waziri Mkuu, mstaafu Fredrick Sumaye, aliyechaguliwa kuwa Kamanda wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Wilaya ya Hanang, zimeota mbawa. Sherehe hizo zilizopangwa kufanyika Oktoba 18, zimeahirishwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Vote wisely, Sumaye tells Hanang residents

Former Prime Minister Frederick Sumaye yesterday asked voters to differentiate between opposition coalition, Ukawa, and other political parties to avoid making wrong choices in the forthcoming General Election.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uteuzi wa Makonda wawa gumzo kila kona mitandaoni, mitaani

MAKONDA1

Na Andrew Chale wa modewji blog

Ikiwa ni siku moja tu tangu kutangazwa kwa wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara, Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ikiwemo kumteua kada wa Chama cha Mapinduzi anayetokea Jumuiya ya Vijana (UVCCM), Paul Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,  watanzania wengi wamebeza uteuzi huo huku wengine wakiunga  mkono.

Modewji blog  iliweza kuongea na watu mbalimbali juu ya maoni yao kufuatia uteuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana awashukia wawekezaji Hanang’

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahaman Kinana amesema wawekezaji kutoka nje walioshindwa kuyaendeleza mashamba ya ngano ya Bassotu na Wareti, wilayani Hanang mkoani Manyara, watanyanganywa mashamba hayo.

 

9 years ago

TheCitizen

Hanang farmers claim more estates

Villagers in Hanang District, Manyara Region, have made fresh demands, claiming ownership of two more wheat farms out of seven that were once under the defunct National Agricultural and Food Corporation (Nafco).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hanang walia gharama za viwanja

WAKAZI wa Hanang mkoa hapa, wamelalamikia ughari wa bei ya viwanja vya makazi na biashara wilayani humo. Ukubwa wa bei hizo za viwanja, umebainishwa mwishoni mwa wiki na baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hanang’ wakosa maji safi

WANANCHI zaidi ya 3,000 wa Kijiji cha Hedet, Wilaya ya Hanang mkoani Manyara, kwa zaidi ya miaka miwili sasa hawana huduma ya maji safi na salama kutokana na baadhi yao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

125 waiva kwa Umisseta Hanang’

WANAFUNZI 125 wa michezo ya riadha, soka, pete na wavu, kutoka shule za sekondari Wilaya ya Hanang’, wanatarajia kushiriki mashindano ya Umoja wa Michezo ya Shule za Sekondari (Umisseta), mkoani...

 

9 years ago

TheCitizen

Future looks bleak for Hanang livestock farmers

Traditional livestock keepers in Hanang District, Manyara Region, are set to face various challenges due to diminishing grazing  land, a former government administrator has said.

 

11 years ago

TheCitizen

Shock as child is beaten to death in Hanang

>Shock and disbelief gripped Masusu, a remote village at  Gissambalang’ Ward in Hanang District, Manyara Region, last weekend when a young boy was hacked to death.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani