Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU

LEO ni siku ya kuzaliwa ya mpiganaji Mroki Mroki 'Father Kidevu' ambapo leo anaadhimisha miaka kadhaa hapa duniani. Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna alicho mpa. Pia anashukuru wazazi hasa mama yake, familia yake ikiongozwa na mkewe pamoja na watoto wao.   

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA 8 YA BABA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU NA BIRTHDAY YA FATHER KIDEVU

Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) Mroki Mroki-Father KidevuSekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika nane sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani.
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki 'Father Kidevu' alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki.
Unakumbukwa na wengi sana maana...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY MAMA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU

TAREHE ya leo ni ndio aliyo zaliwa Mama mzazi wa Blogger na Mpigapicha nguli Tanzania, Mroki Mroki, Bi. Mary O.Nathan  (pichani) wa Kinyenze, Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro ambaye leo anatimiza miaka 63 tangu kuzaliwa kwake tarehe kama ya leo. 

Kipekee anamshukuru Mungu kwa kumjalia umri huo alionao hivi sasa. Anawashukuru wote ambao wamechangia yeye kuishi vyema. Anaishukuru sana Familia yake yote kwa umoja na upendo walio nao jambo mabalo anasema linamfanya aishi kwa furaha na amani. 
...

 

10 years ago

Michuzi

HAPPY BESDEI MDAU FATHER KIDEVU!!

LEO ni siku ya kuzaliwa ya mpiganaji Mroki Mroki 'Father Kidevu' ambapo leo anaadhimisha miaka kadhaa hapa duniani. Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna alicho mpa. Pia anashukuru wazazi hasa mama yake, familia yake ikiongozwa na mkewe pamoja na watoto wao. 
"Ndugu zangu mbali na hao niliowataja hapo juu, lakini ninyi marafiki zangu, Wadau wangu, ndugu na jamaa wote popote pale mlipo hapa duniani ni watu muhimu sana...

 

10 years ago

Vijimambo

KIIZA AIBEBA YANGA KWA GOLI LA 'FAIRPLAY' DHIDI YA EXPRESS YA UGANDA-Father Kidevu

Mabingwa mara 24 wa soka la Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam imewazamisha Express ya Uganda kwa goli 1-0 lilifungwa katika dakika ya 90 kufuatia mpira wa kurushwa uliotolewa nje baada ya mchezaji wa Xpress ya Uganda kuumia.
Mchezaji wa kulipwa wa Uganda, Hamisi Kiiza anaekipia na Yanga ndiye aliyepachika goli hilo ambalo hata hivyo lilionesha kulalamikiwa na benchi la ufundi la Express ambao walikuwa wakihoji tunawafundisha nini wachezaji juu ya Fair Play?Wachezaji wakiwania mpira wakati wa...

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY FATHER'S DAY

EVERY STEP WE TAKE IN OUR LIFE........YOU HAVE BEEN OUR MOTIVATION!Happy Father's Day!

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY TO YOU

Michelle Muhoka kutoka Maryland, USASisi Baba, Kaka, Wadogo wako, Mashangazi. Wajomba, ndugu na jamaa tunakutakia Kila la kheri katika maisha yako wote kwa pamoja tunasema Happy Birthday to you

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY TO MY ONE AND ONLY

Mohammed Matope from MarylandHappy Birthday to the world’s best husband. You are my anchor and my shield and I am blessed to be your wife. I pray that God will grant you a long life and happiness so that we will be together and celebrate many more birthdays to come. I love you so much.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY MO

MODEWJI BLOG TEAM : Thanking you for being a great boss just isn't enough for your special day! Thank you for inspiring us to be our best! Happy birthday, boss!
And below is a small gift from us!
Please join us to wish him a Happy Birthday by follow him on his twitter @moodewji and instagram @moodewji

 

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY

Gloria Sakwa wa VA.Vijimambo Team Wish You Best wishes on your birthday and throughout the coming year.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani