KUMBUKUMBU YA MIAKA 8 YA BABA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU NA BIRTHDAY YA FATHER KIDEVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-g8veYlfbcxk/TnRwOY_lrCI/AAAAAAAAqXA/oklVLRn2-CQ/s72-c/ST%2BNathan.jpg)
Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007)
Mroki Mroki-Father KidevuSekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika nane sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan (18/08/1925 – 18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani.
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki 'Father Kidevu' alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki.
Unakumbukwa na wengi sana maana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-izobIX_qxI0/UUbUOlfidcI/AAAAAAAAFZk/f8MUP2l0-Hc/s72-c/images.jpg)
HAPPY BIRTHDAY MAMA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-izobIX_qxI0/UUbUOlfidcI/AAAAAAAAFZk/f8MUP2l0-Hc/s640/images.jpg)
Kipekee anamshukuru Mungu kwa kumjalia umri huo alionao hivi sasa. Anawashukuru wote ambao wamechangia yeye kuishi vyema. Anaishukuru sana Familia yake yote kwa umoja na upendo walio nao jambo mabalo anasema linamfanya aishi kwa furaha na amani.
...
10 years ago
GPLHAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU
10 years ago
MichuziHAPPY BESDEI MDAU FATHER KIDEVU!!
"Ndugu zangu mbali na hao niliowataja hapo juu, lakini ninyi marafiki zangu, Wadau wangu, ndugu na jamaa wote popote pale mlipo hapa duniani ni watu muhimu sana...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JSTAN5qIEFk/VIM7GEo6qvI/AAAAAAAAZFM/iDkbjs8iGRc/s72-c/qqq2.jpg)
KIIZA AIBEBA YANGA KWA GOLI LA 'FAIRPLAY' DHIDI YA EXPRESS YA UGANDA-Father Kidevu
![](http://3.bp.blogspot.com/-JSTAN5qIEFk/VIM7GEo6qvI/AAAAAAAAZFM/iDkbjs8iGRc/s1600/qqq2.jpg)
Mchezaji wa kulipwa wa Uganda, Hamisi Kiiza anaekipia na Yanga ndiye aliyepachika goli hilo ambalo hata hivyo lilionesha kulalamikiwa na benchi la ufundi la Express ambao walikuwa wakihoji tunawafundisha nini wachezaji juu ya Fair Play?
![](http://2.bp.blogspot.com/-DFPrcwvWyBE/VIM7GINZmVI/AAAAAAAAZFI/aldSSTQBKbs/s1600/qqq3.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mtoto wa miaka 13 anusurika kuchinjwa na baba yake mzazi
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E_X9njdfxws/VdjEz0cXrRI/AAAAAAABuAc/4Mn0LbD-QlM/s72-c/MC%2Bbaraka%2B%2528BUKOBAWADAU.jpg)
HAPPY BIRTHDAY BLOGGER MC BARAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_X9njdfxws/VdjEz0cXrRI/AAAAAAABuAc/4Mn0LbD-QlM/s740/MC%2Bbaraka%2B%2528BUKOBAWADAU.jpg)
11 years ago
TheCitizen22 Jun
I am who I am because of my father
9 years ago
MichuziHAPPY BIRTHDAY BLOGGER FAUSTINE RUTA
Blogger mpiganaji wa Bukoba Faustine Ruta anapenda kumshukuru Mungu kwa kumfikisha leo hii Sept. 24, siku yake ya kuzaliwa. Anasema hakika Mungu ni mwema kwa kila jambo. Anaishukukuru familia yake, ndugu, jamaa, marafiki na majirani kwa kumsindikiza vyema katika safari yake hii ya maisha."Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kuishuhudia siku hii. Ni neema kubwa. Hakika napaswa kutambua kwamba kila siku katika maisha yangu ni dhamana ambayo natakiwa niitumie kwa mambo mema", Faustine amesema...
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Happy Birthday Blogger Cathbert Angelo Kajuna
![](http://4.bp.blogspot.com/-Xi_46XXNc18/VSeNJs9I6CI/AAAAAAABebo/92RmKdeXK5Y/s1600/IMG_8141.jpg)