HAPPY BESDEI MDAU FATHER KIDEVU!!
LEO ni siku ya kuzaliwa ya mpiganaji Mroki Mroki 'Father Kidevu' ambapo leo anaadhimisha miaka kadhaa hapa duniani. Anasema Sifa na Utukufu anazirudisha kwa Mungu maana yeye ndie ajauae sababu ya kumuacha hadi hii leo na hakuna alicho mpa. Pia anashukuru wazazi hasa mama yake, familia yake ikiongozwa na mkewe pamoja na watoto wao.
"Ndugu zangu mbali na hao niliowataja hapo juu, lakini ninyi marafiki zangu, Wadau wangu, ndugu na jamaa wote popote pale mlipo hapa duniani ni watu muhimu sana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g8veYlfbcxk/TnRwOY_lrCI/AAAAAAAAqXA/oklVLRn2-CQ/s72-c/ST%2BNathan.jpg)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 8 YA BABA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU NA BIRTHDAY YA FATHER KIDEVU
![](http://1.bp.blogspot.com/-g8veYlfbcxk/TnRwOY_lrCI/AAAAAAAAqXA/oklVLRn2-CQ/s640/ST%2BNathan.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8H_0vSlp1PM/TnRwI9x8KqI/AAAAAAAAqW4/MU5gUPEnTds/s640/Mroki.jpg)
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki 'Father Kidevu' alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki.
Unakumbukwa na wengi sana maana...
10 years ago
GPLHAPPY BIRTHDAY FATHER KIDEVU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-izobIX_qxI0/UUbUOlfidcI/AAAAAAAAFZk/f8MUP2l0-Hc/s72-c/images.jpg)
HAPPY BIRTHDAY MAMA MZAZI WA BLOGGER FATHER KIDEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-izobIX_qxI0/UUbUOlfidcI/AAAAAAAAFZk/f8MUP2l0-Hc/s640/images.jpg)
Kipekee anamshukuru Mungu kwa kumjalia umri huo alionao hivi sasa. Anawashukuru wote ambao wamechangia yeye kuishi vyema. Anaishukuru sana Familia yake yote kwa umoja na upendo walio nao jambo mabalo anasema linamfanya aishi kwa furaha na amani.
...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JSTAN5qIEFk/VIM7GEo6qvI/AAAAAAAAZFM/iDkbjs8iGRc/s72-c/qqq2.jpg)
KIIZA AIBEBA YANGA KWA GOLI LA 'FAIRPLAY' DHIDI YA EXPRESS YA UGANDA-Father Kidevu
![](http://3.bp.blogspot.com/-JSTAN5qIEFk/VIM7GEo6qvI/AAAAAAAAZFM/iDkbjs8iGRc/s1600/qqq2.jpg)
Mchezaji wa kulipwa wa Uganda, Hamisi Kiiza anaekipia na Yanga ndiye aliyepachika goli hilo ambalo hata hivyo lilionesha kulalamikiwa na benchi la ufundi la Express ambao walikuwa wakihoji tunawafundisha nini wachezaji juu ya Fair Play?
![](http://2.bp.blogspot.com/-DFPrcwvWyBE/VIM7GINZmVI/AAAAAAAAZFI/aldSSTQBKbs/s1600/qqq3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-HiuoG9Fs16g/VH19G6WPhfI/AAAAAAACvsE/EQbXcg_itTc/s72-c/unnamed.jpg)
HEPPY BESDEI MDAU DANIEL CHONGOLO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiuoG9Fs16g/VH19G6WPhfI/AAAAAAACvsE/EQbXcg_itTc/s1600/unnamed.jpg)
Globu ya jamii inamtakia afya njema na kila lakheri katika siku yake hii muhimu ya kuzaliwa kwake.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HiuoG9Fs16g/VH19G6WPhfI/AAAAAAACvsE/EQbXcg_itTc/s72-c/unnamed.jpg)
HEPPY BESDEI MDAU DANIEL CHONGOLO
![](http://2.bp.blogspot.com/-HiuoG9Fs16g/VH19G6WPhfI/AAAAAAACvsE/EQbXcg_itTc/s1600/unnamed.jpg)
Globu ya jamii inamtakia afya njema na kila lakheri katika siku yake hii muhimu ya kuzaliwa kwake.
11 years ago
Michuzihepi besdei ya kuzaliwa mdau Krantz Mwantepele
11 years ago
Michuzi18 Mar
hepi besdei ya kuzaliwa mdau Ronnie Mtawali
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/w8K8noX8-13r6CAVbr-5jRt8PWO89cQP6WYzB7vBmiipgjLrTpuChRslBz8hTvlmVelpB8gLlybw3disljC4QOAlRGs4OKpBfaOb4YDXj2tfimhsdaeCZaLe6AI4EO_AfCaprR49hK-AKSGmPBT409h2=s0-d-e1-ft#https://scontent-b.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1.0-9/1901973_767456013266534_2091588404_n.jpg)
Globu ya Jamii inamtakia afya nyema na maisha ya furaha kwa siku hii. Ankal ana furaha na fahari kubwa kuwa mmoja wa marafiki wa karibu wa Ronnie ambaye miaka takriban 20 iliyopita alimpigia picha zake za harusi. Na kama zawadi anamwambia Ronnie kwamba ile shilingi Elfu kumi na mbili (12,000/- Tshs) anayomdai ya album hadi leo anamsamehe. Msamaha huo unakuja kwa kuona Ronnie amedumisha ndoa yake hadi leo bila kutetereka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DPDa0wLue9A/VEaMNfpR4YI/AAAAAAAGsgc/YKWj7W1SyLA/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
HEPI BESDEI YA KUZALIWA MDAU ANDREW CHALE
![](http://4.bp.blogspot.com/-DPDa0wLue9A/VEaMNfpR4YI/AAAAAAAGsgc/YKWj7W1SyLA/s1600/unnamed%2B(2).jpg)