Hashim Mbita afariki dunia
MTUMISHI wa miaka mingi na mwanasiasa mkongwe, Brigedia Hashim Mbita amefariki dunia.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziJUST IN: gwiji la ukombozi wa afrika kusini brigedia jenerali hashim mbita afariki dunia leo dar es salam
Habari zilizotujia hivi punde zinasema Brigedia Jeneral Mstaafu Hashim Mbita aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali kuu ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mzee Mbita atakumbukwa Tanzania, bara zima la Afrika na dunia kwa jumla kama kamanda mahiri aliyeshiriki kikamilifu katika uondoshaji wa utawala wa ukoloni barani Afrika, hususan utawala kidhalimu wa makaburu Zimbabwe na Afrika...
10 years ago
Dewji Blog26 Apr
Tanzania yampoteza mtu muhimu, ni Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki dunia mapema leo
Marehemu Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita
Taifa likiwa katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanzania Bar na Zanzibar, mapema leo limepata pigo baada ya kuondokewa na mtu muhimu na aliyewahi kuwa Katibu Mtendaji wa Kamati ya Ukombozi ya uliokuwa Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), Brigedia Jenerali Mstaafu Hashim Mbita aliyefariki katika dunia majira ya asubuhi katika hospitali kuu ya Jeshi, Lugalo, jijini Dar es salaam.
Kwa mujibu wa duru za habari kutoka familia ya...
10 years ago
Mtanzania27 Apr
Brigedia Jenerali Mbita afariki dunia
Jonas Mushi na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MMOJA wa Watanzania waliofanikisha ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika,Brigedia Jenerali Hashim Mbita (82), alifariki dunia jana katika Hospitali Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo ambako alikuwa amelazwa kwa muda mrefu.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwa marehemu Chang’ombe Madukani Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu Iddi Mbita alisema baba yake alifariki dunia saa 3:30 asubuhi baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Mpigania ukombozi wa Afrika Brig Jen Mbita afariki dunia
10 years ago
MichuziWabunge wamkumbuka Marehemu Hashim Mbita
10 years ago
The Zimbabwe Daily27 Apr
Latest: Brig General Hashim Mbita dies
The Zimbabwe Daily
Latest: Brig General Hashim Mbita dies
The Zimbabwe Daily
mbita DAR ES SALAAM - Brigadier Gen Hashim Mbita, who once served as Executive Secretary of the Liberation Committee of the African National Unity (OAU) died yesterday at the Lugalo Military Hospital in Kinondoni Municipality in Dar es Salaam.
Hashim Mbita is no moreDaily News
Tanzania's liberation icon Hashim Mbita dies at 74Zee News
all 16
10 years ago
Michuzi10 years ago
New Kerala27 Apr
Tanzania's liberation icon Hashim Mbita dies at 74
Economy Lead
Tanzania's liberation icon Hashim Mbita dies at 74
New Kerala
Hashim Mbita, a Tanzanian army general and the icon of the southern Africa liberation struggle, died at the age of 74 on Sunday after a long illness. The East African nation's State House in the commercial capital Dar es Salaam said in a statement that Mbita, ...
Hashim Mbita is no moreDaily News
all 7
10 years ago
TheCitizen03 May
STRAIGHT TALK: Fare thee well Brigadier General Hashim Mbita