Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA

Chid Benzi akitoka lango la mahakama ya Kisutu. ...Akifungua mlango wa gari lililokuwa likimsubiri. MSANII wa muziki wa kizazi kipya Rashid Makwiro ’Chid Benz’amepata dhamana mapema hii leo katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kukamilisha taratibu zote za wadhamini wawili baada ya hapo jana kurudishwa rumande alipokuwa… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

HATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA

Hatimaye msanii wa Bongo Fleva,Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi milioni 1 pamoja na wadhamini wawili wasiokuwana hatia.

Kesi yake itasikilizwa tena Novemba 11 mwaka huu.

 

10 years ago

Michuzi

CHID BENZ APANDISHWA KIZIMBANI JIJINI DAR LEO KWA SHITAKA LA KUKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA,AKOSA DHAMANA, KESI YAKE KUTAJWA TENA NOVEMBA 11

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi Abdallah Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, amefikishwa mahakamani akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Chid Benz amefikishwa  mapema leo saa 3:00 asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomewa mashitaka yake. Saa 7:50 mchana alifikishwa mbele ya...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZ APATA DHAMANA

Chid Benz akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. HATIMAYE  msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya. Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZ AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT


Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya heroine na bangi akiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo. Akizungumza Kamanda wa Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP, Alfred Nzowa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa msanii...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZ SUALA LA MADAWA YA KULEVYA NI AIBU KWAKO!

KWAKO rapa uliyeibeba Ilala kwa sauti yenye mamlaka tangu miaka hiyo hadi leo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’.Bila shaka uko poa japo najua kwa sasa upo kwenye mikono ya sheria baada ya kudakwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere hivi karibuni ukidaiwa kukutwa na kete 14 za madawa ya kulevya. Nimekukumbuka leo kwenye safu hii ya Barua Nzito maana naona jinsi dhahabu inavyopotea kwenye mchanga huku maelfu ya...

 

10 years ago

GPL

CHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA

Chid Benz (mwenye shati jeupe) baada ya kuachiwa na mahakama. …Akiondoka mahakamani.
…Akielekea kwenye gari…

 

10 years ago

CloudsFM

Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu

Msanii wa Hip Hop,Bongo Chid Benz (29), amekiri mashtaka matatu yanayomkabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo.
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...

 

10 years ago

Michuzi

CHID BENZ APATA DHAMANA BAADA YA KULALA GEREZANI SIKU MOJA


Na Mwene Said wa Blogu ya Jamii

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imemwachia kwa dhamana Msanii  wa Muziki wa Kizazi Kipya (bongo fleva), Rashidi  Makwaro (29), maarufa kama Chid Benz, baada ya kutimiza masharti ya dhamana ya mahakaman hiyo.
Chid Benz, alifikishwa mahakamani hapo jana akikabiliwa na mashitaka matatu ikiwemo kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.
Hakimu...

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz atoka kwa dhamana

Msanii wa muziki wa hip hop nchini, Rashid Abdallah Makwaro ‘Chid Benz’ (29) ameachiwa kwa dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam baada ya kukamilisha masharti aliyopewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani