CHID BENZ AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya heroine na bangi akiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo. Akizungumza Kamanda wa Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP, Alfred Nzowa, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa msanii...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Chid Benz anaswa na dawa za kulevya ‘airport’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHHhOugtisG7qsNl*fNuR3U7u495ljGfbSUaVK3WiUqMUS-qx2udh-CDQUH6*Vj3lMQB4Z0ZtZsOHxEA4y7*yVY/erick.jpg)
CHID BENZ SUALA LA MADAWA YA KULEVYA NI AIBU KWAKO!
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
GPLHATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...
10 years ago
Bongo524 Oct
Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
11 years ago
Bongo514 Jul
Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘itakuwa amechanyikiwa na madawa’
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Sakata la dawa za kulevya hatma ya Chid Benz kujulikana kesho
10 years ago
Bongo527 Oct
Nzowa asema dawa za kulevya alizokamatwa nazo Chid Benz ni Heroine