CHID BENZ SUALA LA MADAWA YA KULEVYA NI AIBU KWAKO!
![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHHhOugtisG7qsNl*fNuR3U7u495ljGfbSUaVK3WiUqMUS-qx2udh-CDQUH6*Vj3lMQB4Z0ZtZsOHxEA4y7*yVY/erick.jpg)
KWAKO rapa uliyeibeba Ilala kwa sauti yenye mamlaka tangu miaka hiyo hadi leo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’.Bila shaka uko poa japo najua kwa sasa upo kwenye mikono ya sheria baada ya kudakwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere hivi karibuni ukidaiwa kukutwa na kete 14 za madawa ya kulevya. Nimekukumbuka leo kwenye safu hii ya Barua Nzito maana naona jinsi dhahabu inavyopotea kwenye mchanga huku maelfu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AIRPORT
10 years ago
GPLCHID BENZ: ATOZWA FAINI, AAHIDI KUACHA MADAWA YA KULEVYA
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Chid Benz akiri kukutwa na madawa ya kulevya mahakamani,asubiri hukumu
Chid Benz alikiri hivyo juzi Jumatano mbele ya Hakimu Mkazi, Waliarwande Lema baada ya kuomba asomewe tena mashtaka yake. Aliomba hivyo muda mfupi baada ya kesi yake kutajwa mahakamani hapo na Wakili wa Serikali, Diana Lukendo aliyesema upelelezi haujakamilika...
10 years ago
GPLHATIMAYE CHID BENZ APATA DHAMANA KATIKA KESI YA MADAWA YA KULEVYA
11 years ago
Bongo514 Jul
Ray C asema alivamiwa na kupigwa na Chid Benz ‘itakuwa amechanyikiwa na madawa’
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Chid Benz anaswa na dawa za kulevya ‘airport’
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Sakata la dawa za kulevya hatma ya Chid Benz kujulikana kesho
10 years ago
Bongo527 Oct
Nzowa asema dawa za kulevya alizokamatwa nazo Chid Benz ni Heroine
10 years ago
Vijimambo![](http://lh5.ggpht.com/-bFei-3tTEZc/VE5uKIvmy6I/AAAAAAAAeaU/GkgMYDaCno8/s72-c/ray-c-667x444.jpg)
ALICHOKISEMA RAY C KUHUSU KUKAMATWA KWA CHIDI BENZ NA MADAWA YA KULEVYA
![](http://lh5.ggpht.com/-bFei-3tTEZc/VE5uKIvmy6I/AAAAAAAAeaU/GkgMYDaCno8/s640/ray-c-667x444.jpg)
kutafuta suluhu,nimejaribu kila njia kukushauri badala yake ukaja na rungu la kimasai na kunitandika nalo nyumbani kwangu!nadhani janga hili lililokukuta litakuwa Kama jibu kwako kwamba
unakoenda si salama kabisa kaka yangu ni bora ubadilishe njia...