Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATUA NANE ZA KUPIGA KURA



Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kushoto) akitoa risala siku moja kabla ya ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Chalinze kwa waadishi wa habari leo katika ukumbi halmashauri ya mji wa Bagamoyo. Katikati ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Hamid Mahmuod na wa kwanza kulia ni Mjumbe wa Tume hiyo Prof. Amon Chaligha. Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva (wa kwanza kulia)...

 

9 years ago

Vijimambo

WASIOONA WATISHIA KUTOMPIGIA KURA MWANASIASA AMBAYE HAJAWAWEKEA MAZINGIRA RAFIKI YA WAO KUPIGA KURA WAKATI WA UCHAGUZI MKUU

 Mwenyekiti wa Chama cha Wasioona Tanzania (TLB), Luis Benedicto (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu wasiona kutengwa katika mchakato mzima wa uchaguzi kuanzia kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa chama hicho, Jonas Lubago na Katibu Mkuu wa TLB, Emmanuel Simon Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika mkutano huo.
Na Dotto...

 

9 years ago

Bongo5

Madam Rita asema ukiritimba umewakwamisha wasanii kupiga hatua

Jaji wa mashindano ya Bongo Star Search (BSS), Madam Rita amesema ukiritimba uliopo kwenye mazingira yanayowazunguka wasanii wa muziki unakwamisha maendeleo yao. Akizungumza na waandishi wa habari jana kwenye ukumbi wa hoteli ya Regency, Madam alisema wasanii wengi wanashindwa kufanikiwa kutokana na kushindwa kujikwamua wenyewe. “Kuna vitu hatuwezi kuvicontrol, huwezi kucontrol media na ukiritimba uliopo […]

 

11 years ago

Dewji Blog

PPP zinaweza kupiga hatua iwapo zitaingia ubia na usimamizi na uendesaji kwenye vituo vya tiba

MGENI

Mgeni rasmi Bartolome Temba Katibu Tawala Msaidizi sekretarieti ya Mkoa wa Singida akaimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Parseko Kone .

Na Hillary Shoo, Singida.

SEKTA ya Umma na sekta binafsi nchini (PPP),zinaweza kupiga hatua kubwa ya maendeleo katika utoaji huduma ya afya,iwapo zitaingia ubia wa usimamizi na uendeshaji kwenye vituo vya kutolea tiba hapa nchini.

Kaimu katibu tawala wa Mkoa wa Singida,Bartholome Temba ametoa rai jana mjini hapa  wakati wa mkutano wa uhamasishaji wa ubia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waingereza kupiga kura

Alhamis Mei 7 wananchi hapa Uigereza wanapiga kura kwenye uchaguzi mkuu

 

9 years ago

Habarileo

Wanafunzi kupiga kura walipojiandikisha

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema wanafunzi wa vyuo vikuu waliokuwa na sifa za kupiga kura na wamejiandikisha katika daftari la wapiga kura wataruhusiwa kupiga kura katika maeneo walipojiandikisha na si kwingineko.

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wahamasishwa kupiga kura

SHIRIKA lisilo la kiserikali ya Woman Wake Up (Wowap) limewataka wanawake wote kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura na kuchagua viongozi wanaowataka ambao watajali maslahi yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapalala agoma kupiga kura

Mjumbe wa Bunge la Katiba, James Mapalala ametoa siri ya kutokujihusisha na suala la upigaji kura katika kamati yake namba moja kwa kusema inapigia upatu serikali mbili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani