Hatujajipanga vilivyo kukabili majanga ya moto
Tukio la wiki iliyopita ambalo watu tisa wa familia moja walipoteza maisha jijini Dar es Salaam baada ya nyumba walimokuwa wakiishi kuungua moto, limezidisha hofu na taharuki miongoni mwa wananchi kuhusu usalama wao wanapokuwa katika makazi yao, hasa nyakati za usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s72-c/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dk30GyOVLII/XrEDiPxhLdI/AAAAAAALpI8/Cdqc-NxXpQA6KQk5MBDJGESTcxtGTQExgCLcBGAsYHQ/s640/6c038d41-0e82-4cfa-b0af-64894c366946.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-V_m9qjEUfB0/XrEDiooPDUI/AAAAAAALpJA/Ufkc1Pnu208VHE9s3dQPSytZdO724r8XgCLcBGAsYHQ/s640/6ef4f28c-b6fd-4522-ad3f-11392cd6e632.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-XEs1bWkQL4g/XrEDij6nPcI/AAAAAAALpJE/GOrQ6fEVAAUJUvhq-FHGpdHYv_1eJG89wCLcBGAsYHQ/s640/8cf1c48a-e21b-4ee2-bd99-289d72365fe9.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KSzX2j5ZdwM/XrEDhoZpu8I/AAAAAAALpI4/dZhCZ9W8D60XXd2-YBKN3QnfTzx12KuGACLcBGAsYHQ/s640/60d6d58c-80c7-4eb1-b962-968744d22442.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Feb
MAONI: Tutafute mbinu mpya za kukabili majanga
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Njia za kudhibiti majanga ya moto
11 years ago
Habarileo11 Jan
Waliopata majanga ya moto Pemba wasaidiwa
JUMUIYA ya Muzdalifa yenye makao makuu yake Pemba imetoa misaada wa bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo kwa familia na watu ambao nyumba zao zimeteketea kwa moto huko Shumba, mjini Pemba.
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA WAJIFUNZA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika wanafunzi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s72-c/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
STOP KUTUMIA NAMBA YA TAHADHARI YA MAJANGA YA MOTO KWA KUTOA TAARIFA ZA UONGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-H9Rx0ezWo_U/Xs37g3RMOzI/AAAAAAAAntI/xMqyvgk_lLgIIfv6Q_gSyo8U2hPDKY9LwCLcBGAsYHQ/s400/thumbnail%2B%25285%2529.jpg)
KAGERA
Wananchi Mkoani Kagera wametakiwa kuacha mara moja tabia ya kutoa taarifa zisizo za kweli kwa kutumia namba ya tahadhali inayotumika kutoa taarifa kwa jeshi la zimamoto na uokoaji.
kauli hiyo imetolewa na mkaguzi wa jeshi la zimamoto na uokoaji mkoani Kagera Thomas Majuto wakati akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ambapo amesema kuwa baadhi ya wananchi wamekuwa wakitumia vibaya namba ya tahadhali inatumika kutoa taarifa za majanga yakiwemo ya ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NrdP4N46-l8/XoDln-XIGmI/AAAAAAALlfE/24JfmS4i_XkkM5_fWHgebLaL7ADVSHuLQCLcBGAsYHQ/s72-c/912dcefd-b7d2-4895-a860-98af1105408e.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAWAASA WANANCHI KUTOA TAARIFA HARAKA WANAPOTOKEA MAJANGA YA MOTO
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limewataka wananchi kutoa taarifa haraka kwa Jeshi la Polisi na Jeshi la zima moto na uokoaji pindi wanapoona majanga ya moto yanapotokea ili kuweza kuyadhibiti kwa haraka kabla hayajaleta madhara makubwa.
Akitoa taarifa za kutokea kwa tukio hilo kwa waandishi wa habari Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoani humo KOKA MOITA ACP amesema tukio hilo limetokea jana majira ya saa tano na nusu usiku katika Soko la Samunge lililopo Mtaa wa NMC,Kata ya...
10 years ago
Bongo524 Sep
Noorah: Tusiseme tunaenda internatioanal wakati hatujajipanga
11 years ago
Michuzi05 Feb
VIWANJA VILIVYO PIMWA VINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE