Noorah: Tusiseme tunaenda internatioanal wakati hatujajipanga
Rapper wa kundi la Chamber Squad, Noorah aka Babastylez, amedai kuwa haiwezekani kwa wasanii wengi wa Tanzania kufanikisha ndoto yao ya kufanikiwa kimataifa kama wataendelea kufanya muziki kwa kuiga. Akiongea na kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Noorah amesema wasanii wengi hawajui dhana nzima ya kwenda international. “Kwasababu wengi wanapenda kukopi kitu fulani ambacho […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Hatujajipanga vilivyo kukabili majanga ya moto
9 years ago
Bongo523 Dec
Music: Dark Master Ft Ibrah – Wapi Tunaenda
![artist_5da12066b4ef7232610b416f576669f8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/artist_5da12066b4ef7232610b416f576669f8-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva ambaye ni member wa Chamber Squad Dark Master ameachia wimbo mpya unaitwa “Wapi Tunaenda”, Amemshirikisha Ibrah, Studio Bantu Music, Produced by No future.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
CloudsFM03 Mar
Noorah afiwa na mkewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MKE WA NOORAH AFARIKI DUNIA
9 years ago
Bongo517 Dec
Noorah aeleza kinachomchelewesha kutoa kazi mpya
![noorah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/noorah-300x194.jpg)
Noorah aka Baba Stylez amezitaja sababu zinazomuweka kimya kwenye muziki kwa muda mrefu, licha ya kuwa anaendelea kuingia studio na ana nyimbo nyingi ambazo amesharekodi.
“Unajua binafsi mi mwenyewe kazi zangu nimekuwa ninahamu ya kuzitoa muda mrefu kwasababu nimeshazirekodi ziko tu studio, mazingira yanakuwa yananibana unajua mashabiki hawasikilizi ngoma redioni, wanaangalia sana kwenye TV na kucomment kwamba video ya flani nzuri mbaya video ya mbaya, inabidi iendane na soko, soko...
10 years ago
Bongo503 Mar
Mke wa rapper Noorah, Camila afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PJvK9UyuR4UNKfEsTxhwxYjB0NuMXUOLrs16*ZsutY-da4*GKOU4UuG-pSMZumY72k9b27R04Ra5N3UudUt2Akp/Noorah.jpg)
KIFO CHA MKE WA NOORAH CHAWALIZA WASANII
11 years ago
Bongo522 Jul
Methadone yairejesha afya ya video queen ‘Ice Cream’ ya Noorah
11 years ago
CloudsFM29 May
RAY C AMSAIDIA VIDEO QUEEN WA NGOMA YA NOORAH ALIYEATHIRIKA NA MADAWA YA KULEVYA
STAA wa Bongo Fleva Rehema Chalamila’Ray C’amemsaidia aliyekuwa video Queen wa ngoma ya Ice Cream ya msanii wa siku nyingi wa muziki huo Noorah baada ya kuathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya.
Kupita ukurasa wa Instagram Ray C ambaye nae aliwahi kukumbwa na tatizo hilo akiweka picha yake pamoja na Doreen huku akidai kuwa amempata na amekubali kuanza matibabu kuachana na dawa za kulevya. Ray C ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram dakika chache zilizopita kuwa ”rayc1982 Mungu ni...