Hazina yapamba tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne
![](http://4.bp.blogspot.com/-99MQay51t7U/VIaxGOQjBNI/AAAAAAAG2LM/2INpVV8jASU/s72-c/01b.jpg)
Vijana wa Kikundi cha “Hisia Theatre Group” wakionesha ujuzi wao wa sarakasi wakati wa tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne linalofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini leo Dar es salaam ikiwa ni kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Mwamuzi wa michezo ya sanaa za maonesho na Mhadhiri kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam Delphine Njewele (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mwanasheria wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (PPAA)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Wizara ya Fedha yajivunia Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Herman Mwansoko akitoa hotuba wakati wa kufunga Mashindano ya Tamasha la Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha kwa kushikiana na Taasisi zake liLIlofanyika viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam.
Meneja Mawasiliano Jamii kutoka Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania (MCA-T) Margaret Mussai akifafanua jambo kwa Mgeni Rasmi Mkurugenzi...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne lafana TCC Chang’ombe
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Servacius Likwelile mara baada ya kuwasili viwanja vya Sigara (TCC) Chang’ombe jijini Dar es salaam ambapo linafanyika tamasha la mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne mwishoni mwa wiki kuelekea maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Na Eleuteri Mangi
Kuelekea kilele cha sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru Tanzania Bara, Wizara ya Fedha na Taasisi zake imeanza sherehe hizo kwa...
9 years ago
Michuzi13 Oct
MAFANIKIO YA SHIRIKA LA MZINGA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
1. Uzalishaji wa BarutiShirika limezalisha baruti...
10 years ago
Michuzi06 Jul
10 years ago
Michuzi08 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/x0C--hI9EPU/default.jpg)