Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Heche asema CCM imefika mwisho

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Taifa, John Heche amewataka Watanzania kukichukulia kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kulazimika kuwaacha kwenye baraza lake, mawaziri ambao walitajwa na chama chake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

CCM IMEFIKA MAHAKAMANI KUMLIPIA DENI ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA

  Katibu wa itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole amewasili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kufuata utaratibu, wa kulipa faini ya Sh milioni 30 ili kumnusuru DK Vicent Mashinji aliyetiwa hatiani jana.
Akizungumza katika viwanja vya mahakama akiwa ameambatana na wanachama wengine wa chama hicho pamoja na mke wa mfungwa huyo , Polepole amesema amefika kufuata utaratibu ili wamtoe Mashinji.
"Tunaishukuru CCM Mkoa wa Dar es Salaam, wametusaidia tangu jana mpaka saa 4:00...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge Katiba mwamuzi wa mwisho, asema Kikwete

>Rais Jakaya Kikwete, amesema Bunge la Katiba ndilo litakalotoa uamuzi wa mwisho kuhusu  Katiba Mpya kabla ya kupigiwa kura ya maoni na wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.


Balozi Dr Mahiga -Iringa mjini.
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu  wa umoja  wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato  wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada  maarufu wa chama  hicho  walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia  watanzania na kuwa watazunguka kote ila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu, Heche washupalia ujangili

MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu, amedai kwamba kitendo cha serikali ya Rais Jakaya Kikwete kutumia majeshi ya ulinzi kufanya operesheni za kiraia kilikuwa ni uvunjifu wa Katiba na ni...

 

10 years ago

Daily News

Matiko, Heche for two separate constituencies


Matiko, Heche for two separate constituencies
Daily News
THE opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) has nominated its outgoing Special Seats Member of Parliament (MP), Ms Esther Matiko, to contest for the new Tarime Urban constituency in the upcoming general elections due to be held ...

 

11 years ago

Mwananchi

Heche: Najipanga kugombea Ubunge Tarime

Septemba 10 mwaka huu, Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) litafanya uchaguzi  wa viongozi wa baraza hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani anafaa kumrithi Heche BAVICHA?

NIKIWA kijana ninayeamini katika siasa za mabadiliko, najiona nina wajibu na kila sababu ya kutoa maoni na ushauri wangu kwa viongozi wa Baraza la Vijana Taifa wa Chama cha Demokrasia...

 

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani