HII NDO KATUNI INAYO MUHUSU RAIS KURUNZINZA WA BURUNDI
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Bongo525 Sep
Hii ndo ratiba ya raundi ya 4 Capital 1
Baada ya kumalizika kwa raundi ya tatu ya michuano ya kombe la ligi maarufu kama Capital One, ratiba ya hatua inayofauta ya michuano hiyo imetoka. HII NDIO RATIBA NZIMA YA RAUNDI 4 CAPITAL ONE Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na […]
10 years ago
VijimamboHII NDO KAULI YA 'FID Q' JUU YA 'STAMINA'
Fareed Kubanda aka Fid Q anaamini kuwa Stamina ndiye rapper mkali zaidi jukwaani kwa sasa.Akizungumza kwenye mahojiano na Rasi Fm ya Dodoma, Fid Q amedai kuwa kwenye show nyingi za Fiesta, Stamina amekuwa akifanya maajabu.“Mimi sasa hivi nimekuwa shabiki wa Stamina, tangu Fiesta imeanza mpaka lipofikia hapa wasanii wengi wanafanya vizuri lakini Stamina anafanya vizuri zaidi,” alisema.
“Kwenye ukweli huwa nasema ukweli hiyo ndio Hip Hop, reality au uhalisia. Unajua tunasemaga tunawalisha...
“Kwenye ukweli huwa nasema ukweli hiyo ndio Hip Hop, reality au uhalisia. Unajua tunasemaga tunawalisha...
10 years ago
Africanjam.ComHII NDO ADHABU UKIKUTWA NA 'BABY WALKER' CANADA
Mwaka 2004 Canada ilipitisha sheria ya kukataza Baby walkers ndani ya nchi hiyo.. walidai kwamba mtoto akitumia baby walker inasababisha mtoto achelewe kutembea na pia kudumaza akili. Mtu yoyote atakayekutwa anamiliki au ananunua kifaa hicho faini ni dola 100,000 au kifungo cha miezi 6 jela
10 years ago
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania