Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NDIVYO IDRIS ALIVYOJIZOLEA MILIONI 500 ZA BBA

MSHIRIKI kutoka Tanzania, Idris Sultan usiku huu ameibuka mshindi wa shidano la Big Brother Hotshots na kujinyakulia dola za Kimarekani 300,000 zaidi ya milioni 500 za Kibongo. Idris Sultan. Idris ameshinda baada ya kuongoza kwa kura nyingi kutoka nchi tofauti. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Big Brother hivi punde, Idris amepata kura 5 akifuatiwa na Tayo kura 2, Macky2 kura 2, Nhlanhla naye kura 2, huku JJ, Sipe na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IDRIS ASHINDA BBA


Mshiriki kutoka Tanzania aliyewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan.
Aliyekuwa mshiriki wa Tanzania kwenye mjengo wa Big Brother Idris Sultan ameibuka mshindi wa shindano hilo na kuileteaheshimaTanzania, Idris pia amejishindia kitita cha dola 300,000 (Sawa na 510,186,000).

Idris aliweza kutabiriwa na wadau wengi kuwa angeweza kuibuka mshindi kutokana na wadau wengi kuvutiwa na staili ya maisha aliyokuwa akiishi katika nyumba hilo la big brother lililoko huko Afrika...

 

10 years ago

GPL

IDRIS WA BBA AONYWA

Stori: MUSA MATEJA
MSHINDI wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan ameonywa na mashabiki kuwa makini na akina dada kwani mamilioni ya shilingi alizokuja nazo zitawafanya wampapatikie kwa lengo la kumchuna. Mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan akipozi na mdada. Wadau mbalimbali waliokuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar Jumatano hii kumsubiri wakati akiwasili...

 

10 years ago

GPL

IDRIS KUSHINDA BBA LEO!

Mshiriki kutoka TanzaniaAnayewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan. 90% Huenda mshiriki kutoka Tanzania anayewakilisha ndani ya mjengo wa Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan akaibuka kidedea leo usiku katika shindano hilo. Tangu asubuhi Runinga ya DStv kupitia Channel 197 na 198 inayoonyesha moja washiriki 8 waliobakia katika mjengo huo, huku kamera ikimmulika zaidi Idris...

 

10 years ago

GPL

WEMA,IDRIS WA BBA WAZUA GUMZO

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman PROJECT? Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman wamezua gumzo hivyo mwanadada huyo kufunguka na kuweka mambo hadharani. Wema Sepetu na Idris… ...

 

10 years ago

GPL

IDRIS WA BBA ABAKIZA MIL. 200

Stori: Gladness Mallya/Ijumaa Wikienda
Mambo ya fedha! Takribani wiki saba tangu anyakue zaidi ya Sh. Milioni 500 baada ya kuibuka mshindi kwenye Shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ 2014, Idris Sultan anadaiwa kubakiza takribani kiasi cha Sh. milioni 200 baada ya kudaiwa kununua mjengo wa ghorofa wenye thamani ya zaidi ya Sh. milioni 300.
Kwa mujibu wa Idris, nyumba hiyo ipo maeneo ya Mbezi Beach jijini Dar...

 

10 years ago

TheCitizen

BBA: Can Idris bring the money home?

This weekend Africa will have its latest millionaire from the Big Brother Africa Hotshots as the $300,000 is up for grabs for the remaining eight contestants.

 

10 years ago

Mtanzania

Idris awakwepa washiriki BBA Dar

IDRISNA THERESIA GASPER
MSHIRIKI wa Big Brother Afrika ‘BBA’ Hot Shot 2014 kutoka nchini Namibia, Luis Munana, amemwagia sifa aliyekuwa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu kuwa ni mwenye mvuto wa kipekee.
Lakini licha ya kutoa sifa hizo, mshiriki mwenzao ambaye ndiye mwenyeji wao, Idris Sultan, hakutokea katika sherehe hiyo jambo lililozua minong’ono kwa watu baada ya tetesi kwamba ana ugomvi na Wema Sepetu.
Wema alimwagiwa sifa hizo alipokuwa katika sherehe za Instagram Party katika viwanja vya...

 

10 years ago

Michuzi

BBA: Hotshots Interview with Idris (Tanzania)


For source and more CLICK HERE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani