Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hizi sio sababu za kuzifuata unapochagua taaluma

Kuchagua taaluma ni kufanya maamuzi ya maisha yako jinsi unavyotaka yaende. Kama yalivyo maamuzi mengine makubwa unahitaji kutumia muda wa kutosha kutafakari na kufanya maamuzi kulingana na vyanzo vya habari za kutosha kuhusu hicho unachotaka kufanya. Ingawa unaweza kusema ni mambo rahisi, kufanya maamuzi kutakana na sababu nitakazoziorodhesha ni hatari. Unahitaji kujitambua na kujiongoza vyema, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli anashinda; sababu 10 ni hizi

OKTOBA 25 mwaka huu, Watanzania watapiga kura kuchagua Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano na Bung

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

GPL

SABABU 5 ZA KUMCHAGUA MAGUFULI HIZI HAPA

Dk. John Magufuli (CCM) . Na Daniel Mbega ILIKUWA miezi, wiki na sasa zimesalia siku tu kabla Watanzania hawajaamua kumchagua rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Oktoba 25, 2015. Jumla ya wagombea nane wa vyama mbalimbali wanawania nafasi hiyo adhimu ya kupokea kijiti kutoka kwa Jakaya Kikwete wa CCM. Wananchi wakimshangilia Magufuli hayupo… ...

 

10 years ago

GPL

SABABU ZA MWANAMKE KUCHEPUKA HIZI HAPA!

Wapenzi wasomaji kumekuwa na manenomaneno kwamba, baadhi ya wanawake wamekuwa na mwanaume zaidi ya mmoja, lakini nimefanya utafiti na kubaini wanaosababisha tabia hiyo ya michepuko ni wanaume ambao wameingia nao kwenye uhusiano. KWA NINI NASEMA HIVI?
Utakuta mwanamke alimpenda mwanaume fulani kwa sababu ya kufuata huduma na jinsi anavyomjali na kumheshimu ikiwa ni pamoja na kumjaza katika nafsi yake, pengine ndiyo anavyopenda au...

 

9 years ago

MillardAyo

China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video)

Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda. December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya mgahawa mmoja China kuwatoza wateja wote kama Yuan 1 ambazo ni kama Tshs. 333 hivi kwa ajili ya kupata hewa safi ndani ya mgahawa huo, […]

The post China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo Movies

Rachel: Sio JB pekee, Hizi ni baadhi ya Filamu za Marehemu Kanumba na Ray walizokopi Stori Mpaka Majina

Mcheza filamu za kibongo ambae pia ni muigiazaji wa michezo ya kuigiza kupitia kituo cha televisheni cha Chanel Ten, Rachel Silvestar  amesma anashangazwa na baadhi ya watu kumchukulia vibaya muogizaji mkongwe JB baada ya kuonekana amekopi filamu ya kihindi na kuiita mzee wa swaga wakati hicho kitendo ni cha kawaida kwenye sanaa duniani na JB sio mtu wa kwanza kukupi filamu za nje

Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina...

 

9 years ago

Mwananchi

Makamba: Sababu za CCM kushinda hizi hapa

Oktoba ni mwezi wa kihistoria kwa Watanzania katika mwaka 2015 kutokana na ukweli kwamba watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, sababu hizi zinatosha kuiangusha Ukawa 2015?

>Siasa inabadilika kadri siku zinavyokwenda, hivyo kitendo cha kuungana kwa vyama vikubwa vya siasa  katika taifa lolote Afrika siyo jambo la kushangaza.

 

9 years ago

StarTV

Hizi hapa sababu za Mtikila kuenguliwa NEC.

Sasa ni rasmi; Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli watavaana katika mpambano wa kuwania kuingia Ikulu, baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwapitisha kugombea urais pamoja na wengine sita, huku watatu wakitemwa.

Wakati Lowassa atagombea urais kwa tiketi ya Chadema, akiungwa mkono na vyama vinne vinavyounda Ukawa, Dk Magufuli anawania nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM, huku mwanasiasa maarufu nchini, Mchungaji Christopher Mtikila akikataliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani