Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini
Shirika la afya duniani linasema kuwa mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome au MERS nchini Korea Kusini ni mkubwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Visa vya MERS vyaongezeka Korea Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea Kusini wamegundua visa vingine 23 vya ugonjwa uitwao Middle East Respiratory Syndrome au MERS.
11 years ago
Michuzi16 Apr
Homa ya kidinga popo yasambaa Tanzania, mmoja athibitika kufariki
![mbu](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/lwisVIGfVyrmFlv70XYPpMOUNKqnA6D8-HkvqkhetLd67VGPysuTZUen4g7-bTaMArnwEadMEMX5dxICnnJnl4-rhTHsmTqAHA0RwEreyAcxV3ElB5e-J1oJTai60-cCBhQvh5sb=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/04/mosq1.jpg)
Nchini Tanzania watu 147 wamethibitika kuwambukizwa ugonjwa wa homa ya kidinga popo yaani homa ya dengu huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo. Kasi ya ugonjwa huo ambao ikiwa hautadhibitiwa unaweza kuleta madhara dalili zake zinashabihiana na zile za malaria kwani unaambukizwa kwa kupitia mbu na unadaiwa kusambaa katika maeneo mengine nchini Tanzania ingawa kwa sasa uko zaidi mjini Dare salaam. Taarifa zinasema kuwa kuna visa vya...
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Visa 3 vya MERS vyaripotiwa K Kusini
Maafisa wa afya nchini Korea kusini wamethibitisha visa vingine vitatu vya ugonjwa wa matatizo ya kupumua au MERS.
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini
Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Magereza ya Korea Kusini yanatisha
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/19/141119033839_un_north_korea_640x360_v_nocredit.jpg)
Kamati hiyo imepitisha hoja ya kufanywa uchunguzi dhidi ya tuhuma za uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Korea Kaskazini.
Ripoti ya tume ya uchunguzi ya umoja huo ilitangaza mapema mwaka huu kwamba kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu Korea kaskazini kushinda muda, uzito na...
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Korea ya Kusini yawashikilia wamrekani
Raia watatu wenye asili ya Marekani,ambao wanashikiliwa Korea ya Kusini,wameomba usaidizi wa kuachiliwa.
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Algeria imelaza Korea Kusini 4-2
Algeria imeilaza Korea Kusini 4-2 katika mechi ya kufa au kupona na kuwa timu ya kwanza Afrika kufunga mabao 4
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania