Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini

Shirika la afya duniani linasema kuwa mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome au MERS nchini Korea Kusini ni mkubwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Visa vya MERS vyaongezeka Korea Kusini

Maafisa wa afya nchini Korea Kusini wamegundua visa vingine 23 vya ugonjwa uitwao Middle East Respiratory Syndrome au MERS.

 

11 years ago

Michuzi

Homa ya kidinga popo yasambaa Tanzania, mmoja athibitika kufariki

Mbu anayeambukiza kidinga popo
Nchini Tanzania watu 147 wamethibitika kuwambukizwa ugonjwa wa homa ya kidinga popo yaani homa ya dengu huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo. Kasi ya ugonjwa huo ambao ikiwa hautadhibitiwa unaweza kuleta madhara dalili zake zinashabihiana na zile za malaria kwani unaambukizwa kwa kupitia mbu na unadaiwa kusambaa katika maeneo mengine nchini Tanzania ingawa kwa sasa uko zaidi mjini Dare salaam. Taarifa zinasema kuwa kuna visa vya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Visa 3 vya MERS vyaripotiwa K Kusini

Maafisa wa afya nchini Korea kusini wamethibitisha visa vingine vitatu vya ugonjwa wa matatizo ya kupumua au MERS.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

Vijimambo

Magereza ya Korea Kusini yanatisha

Kamati ya haki za binadamu ya Umoja wa mataifa imeidhinisha azimio linaloliomba baraza la usalama la Umoja huo kuwakilisha malalamiko kuhusu haki za binadamu nchini Korea Kaskazini kwa mahakama ya kimataiafa ya uhalifu.

Kamati hiyo imepitisha hoja ya kufanywa uchunguzi dhidi ya tuhuma za uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Korea Kaskazini.

Ripoti ya tume ya uchunguzi ya umoja huo ilitangaza mapema mwaka huu kwamba kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu Korea kaskazini kushinda muda, uzito na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea ya Kusini yawashikilia wamrekani

Raia watatu wenye asili ya Marekani,ambao wanashikiliwa Korea ya Kusini,wameomba usaidizi wa kuachiliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Algeria imelaza Korea Kusini 4-2

Algeria imeilaza Korea Kusini 4-2 katika mechi ya kufa au kupona na kuwa timu ya kwanza Afrika kufunga mabao 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani